Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
PUMA ni semi-government owned,
ni former BP company... ila to be honest kama maneno ya Zitto ni kweli
basi yamekuwa ni makali kweli, hata hivyo naona ilikuwa ni personal sms
na jamaa wake Maswi - kivyao vyao
Unajua Zitto anajua anachokifanya, anasingizia taratibu zilitakiwa kufuatwa..lkn wenye akili tunajua kuwa taratibu na sheria zingine zimewekwa ili kunufaisha mafisadi.