Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Kuna maneno haya huwa yanarudia sana ndani ya ubongo wangu!
Robert Kiyosaki anasema:
If you want to be successful use competent accontants, best legal advisors and form your own company"
Na huu ni ukweli competent accountants watakusaidia kwenye mambo ya record management na hivyo kujikuta unalipa tax inayoendana na ukubwa wa biashara yako, na wakati mwingine watakusaidia kukwepa kodi ile inayoruhusiwa kisheria " Tax Avoidance".
Legal advisors watakusaidia ku-draft binding contracts ambazo zitakuwa in your favour just in case mambo yameharibika, Mafisadi wengi huwa hawafanyi makosa kwenye kipengele hiki! Wanaweka clause za ajabu kama mikataba ya chifu Mangungo enzi hizo.
Mwisho kabisa uki operate under the company, inakuwezesha kupata dili kubwa kubwa zenye maana. Kwani kampuni ina heshima yake ( Acha hizi kampuni hewa za mfukoni). advantage ingine ya kampuni ni kwamba it can stand on its own inapotokea issues ( but hii ni kwa limited liability companies only).
Ni hayo tu bandugu!
Robert Kiyosaki anasema:
If you want to be successful use competent accontants, best legal advisors and form your own company"
Na huu ni ukweli competent accountants watakusaidia kwenye mambo ya record management na hivyo kujikuta unalipa tax inayoendana na ukubwa wa biashara yako, na wakati mwingine watakusaidia kukwepa kodi ile inayoruhusiwa kisheria " Tax Avoidance".
Legal advisors watakusaidia ku-draft binding contracts ambazo zitakuwa in your favour just in case mambo yameharibika, Mafisadi wengi huwa hawafanyi makosa kwenye kipengele hiki! Wanaweka clause za ajabu kama mikataba ya chifu Mangungo enzi hizo.
Mwisho kabisa uki operate under the company, inakuwezesha kupata dili kubwa kubwa zenye maana. Kwani kampuni ina heshima yake ( Acha hizi kampuni hewa za mfukoni). advantage ingine ya kampuni ni kwamba it can stand on its own inapotokea issues ( but hii ni kwa limited liability companies only).
Ni hayo tu bandugu!