Jamaa aliingizwa kwenye ugaidi. Baada ya kuhoji uhalali wa kuua raia katika balozi za Marekani Dar na Nairobi, ambapo waatu zaidi ya 200 waliuawa kwa sababu ya wamarekani 12, kiongozi wa Osama, alimwambia kwa itidaki yao ni pamoja na hakuna raia pale kunapokua na adui yao. Akasema "Hata hivyo waliokufa katika milipuko ya balozi za marekani Dar na Nairobi, ni makundi ya waafrika tu, nani anajali?".
Ukisikiliza clip hii inakupa picha ya ndani kabisa kwamba vita hivi si vya kidini bali ni maslahi ya kisiasa na kibiashara za kikanda na kikoo. Ndiyo sababu magaidi hawa wanaua waislam wenzao wote wanabakiza wale tu wanashikamana nao katika malengo.
Sasa ninyi magaidi wa bongo ninajua mtakuja hapa kulazimisha pumba zenu zieleweke, mnalijua hili kwamba mwisho wa siku mnakuwa mbuzi wa shughuli?
Sikiliza, elewa, tafakari, changanua, fanya maamuzi, chukua hatua, kwamba hutafanywa punda wa kubeba agenda za ugaidi begani kwa maslahi yasiyo kuhusu.
Ukisikiliza clip hii inakupa picha ya ndani kabisa kwamba vita hivi si vya kidini bali ni maslahi ya kisiasa na kibiashara za kikanda na kikoo. Ndiyo sababu magaidi hawa wanaua waislam wenzao wote wanabakiza wale tu wanashikamana nao katika malengo.
Sasa ninyi magaidi wa bongo ninajua mtakuja hapa kulazimisha pumba zenu zieleweke, mnalijua hili kwamba mwisho wa siku mnakuwa mbuzi wa shughuli?
Sikiliza, elewa, tafakari, changanua, fanya maamuzi, chukua hatua, kwamba hutafanywa punda wa kubeba agenda za ugaidi begani kwa maslahi yasiyo kuhusu.