Maneno ya Ndungai juu ya Masele ni kuliaibisha taifa

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,108
18,325
Masele ni mtanzania kama watanzania wengine... ameshika wadhifa ambao Ndungai hata akeshe kamwe hata weza kuushika na aliijengea Tanzania sifa kubwa sana.

Ugomvi wa bunge la PAP na Rais wao ni katika kutetea wanyonge ambao wamenyanyaswa na huyu Rais wa pap


Katika kumwamini Masele bunge likaona ni vema asimamie jambo hili.

Inakuwaje mtanzania anayeaminiwa ndio anapigwa vita na kutolewa maneno ya hovyo kama haya.

Nafasi kama za masele hutafutwa kwa uda na uvumba tena mara nyingine utakuta Rais wa nje anafanya hata ziara nchi zote kumwombea kura mwananchi wake ili nchi ipate uwakilishi.

Ni vyema kama ndungai aka jifunza kuwa mzalendo..

Tuna spika wa ajabu sana.
IMG-20190516-WA0025.jpeg
 
Kwani mwenyekiti wenu wa chama anasemaje?? Acha wafu mzikane wenyewe ndizo fikra zenu.
 
Vetting ya aina ya viongozi tunaowataka ni kitu cha muhimu sana. Kwa kuitakia mema nchi yetu, kama alivyosema Dr. Bashiru, sasa tuache kuokota okota watu bila kujua ni wa aina gani, halafu tukawapa madaraka.
 
Huyo ndiye Ndugai anadhani kwa kuwa Masele alichaguliwa ndani ya bunge analoliongoza basi atakuwa remote control kama wabunge wake wa ccm kina Musukuma wa taarifa na miongozo. Thanks waziri Mkuu kwa kuliona hilo
 
Vetting ya aina ya viongozi tunaowataka ni kitu cha muhimu sana. Kwa kuitakia mema nchi yetu, kama alivyosema Dr. Bashiru, sasa tuache kuokota okota watu bila kujua ni wa aina gani, halafu tukawapa madaraka.
Hata Mzee warioba alikuwa na wasiwasi na masele!
 
Mzee wa philosophy ya Mkokoteni kuvuta Farasi.
Ndugai likely has mental disorder disease. Ni vizuri tuwe na tamaduni ya kupima afya za akili za viongozi wetu Mara kwa Mara na matokeo yawe yanawekwa wazi.

Take from me, it'll help!!!
Lema hata bila vipimo anaonekana kuwa amewahi kuwa jambazi!
 
Kuna harufu ya rushwa hapa. Naungana na wewe mkuu.
TAKUKURU imchunguze Mtu mmoja kwa tuhuma za kupokea ya ku brashia viatu ili kumnasua Rais wa Bunge la Africa kwny tuhuma za Ngono na Rushwa

Anamsimamisha Kazi mwendesha mashtaka kati kati ya Kesi kwa tuhuma za kuchemsha na kupika

 
Masele ni mtanzania kama watanzania wengine... ameshika wadhifa ambao Ndungai hata akeshe kamwe hata weza kuushika na aliijengea Tanzania sifa kubwa sana.

Ugomvi wa bunge la PAP na Rais wao ni katika kutetea wanyonge ambao wamenyanyaswa na huyu Rais wa pap


Katika kumwamini Masele bunge likaona ni vema asimamie jambo hili.

Inakuwaje mtanzania anayeaminiwa ndio anapigwa vita na kutolewa maneno ya hovyo kama haya.

Nafasi kama za masele hutafutwa kwa uda na uvumba tena mara nyingine utakuta Rais wa nje anafanya hata ziara nchi zote kumwombea kura mwananchi wake ili nchi ipate uwakilishi.

Ni vyema kama ndungai aka jifunza kuwa mzalendo..

Tuna spika wa ajabu sana.
View attachment 1099630
Huu ugomvi umeanza pale wafanyakazi wa bunge la PAP walivyogoma wiki iliyopita kwa kumtuhumu Rais wa bunge la PAP kutumia madaraka yake vibaya kuwatusi na kudai ngono,bunge likashidwa kufanya kazi ikabidi wabunge waingilie kati kumtaka Rais achunguzwe na makamu ashikilie kwa muda, sasa Rais wa PAP akaamua kuwasiliana na bunge la tanzania limuondoe Masele na kumtuhumu na vitu kibao,Rais huyo anafanya hivyo akijua masele asipokuweko amvaye ni makamu yeye hawezi tolewa itabidi shughuli zisimame,bila kujua kinachoendelea bunge lijamtaka masele arudi nyumbani,ndiyo stori inavyoendelea,lakini huyo rais ni shida amelalamikiwa mara nyingi kwa kiburi na kuivuruga PAP,hivyo ilikuwa tumuunge mkono maamuzi ya wabunge wa PAP na siyo ya huyo rais,hata ukisikiliza masele akiongea anashangiliwa na wabunge wa PAP.
 
Mzee wa philosophy ya Mkokoteni kuvuta Farasi.
Ndugai likely has mental disorder disease. Ni vizuri tuwe na tamaduni ya kupima afya za akili za viongozi wetu Mara kwa Mara na matokeo yawe yanawekwa wazi.

Take from me, it'll help!!!


hahhahaha my ribs
 
Kuna baadhi ya watu walikuwa hawaamini kuwa ndugai zimepungua lakini kwa haya anayozidi kuyafanya, siku moja wote watajua kuwa ni hatari na hasara kubwa aliyepungukiwa kuwaongoza walio kamili.

Na kadiri siku zinavyoenda, asipoondolewa, atazidi kufanya vioja zaidi.
 
Back
Top Bottom