Maneno ya Mwl. Nyerere kuhusu Udikteta ambayo viongozi wa sasa Tanzania wanayakwepa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,638
218,073
Hebu na wewe sasa utoe maoni yako ili yaingizwe moja kwa moja kwenye kumbukumbu ya kifo chake

%23HappyNyerereDay.jpg
 
Mmmh hayo ni maelezo ambayo mtu alikaa akayatunga na akaamua kuweka picha ya Nyerere
 
Mwalimu Nyerere, kwa nyakati zake, alikuwa kiongozi mwanademokrasia. Nilishuhudia chaguzi za ubunge ndani ya chama kimoja, wakati huo nikiwa shule ya msingi, hakika mfumo ule kwa namna yoyote ulikuwa hauruhusu wizi wa kura kama huu uliopo sasa.

Mwalimu was high IQ, super intelligent na mkweli wa nafsi yake. Mambo hayo yaliwafanya Watanzania wampende Mwalimu kipindi chote, bila ya kujali shida walizokuwa wakizipitia.
 
Mwalimu Nyerere, kwa nyakati zake, alikuwa kiongozi mwanademokrasia. Nilishuhudia chaguzi za ubunge ndani ya chama kimoja, wakati huo nikiwa shule ya msingi, hakika mfumo ule kwa namna yoyote ulikuwa hauruhusu wizi wa kura kama huu uliopo sasa.

Mwalimu was high IQ, super intelligent na mkweli wa nafsi yake. Mambo hayo yaliwafanya Watanzania wampende Mwalimu kipindi chote, bila ya kujali shida walizokuwa wakizipitia.
Hata Sarwat enzi hizo aliibuka mshindi akiwa mgombea binafsi ktk Jimbo lile la dr. Slaa
 
Hebu na wewe sasa utoe maoni yako ili yaingizwe moja kwa moja kwenye kumbukumbu ya kifo chakeView attachment 1973831
Hata hii ya kukalia kiti bila kikomo ni UDIKTETA na kinyume na madhumuni ya uanzishwaji wa chama. Chama kimeitwa cha "Demokrasia" na "maendeleo" lakini demokrasia na maendeleo ndani ya chama hamna. Labda mzee Mtei na Bob Makani tu ndio walijitahidi kuuiheshimu katiba ya chama kwa kukaa madarakani vipindi viwili vya miaka mitano mitano kama isemavyo katiba ya chama chao. Na muda wao ulipoisha waliwaachia wengine kwa njia ya amani na sheria ya chama.

images (25).jpeg
 
Mwalimu Nyerere, kwa nyakati zake, alikuwa kiongozi mwanademokrasia. Nilishuhudia chaguzi za ubunge ndani ya chama kimoja, wakati huo nikiwa shule ya msingi, hakika mfumo ule kwa namna yoyote ulikuwa hauruhusu wizi wa kura kama huu uliopo sasa.

Mwalimu was high IQ, super intelligent na mkweli wa nafsi yake. Mambo hayo yaliwafanya Watanzania wampende Mwalimu kipindi chote, bila ya kujali shida walizokuwa wakizipitia.
Demokrasia yake ilikuwa ni kwenye ubunge tu
 
Hata hii ya kukalia kiti bila kikomo ni UDIKTETA na kinyume na madhumuni ya uanzishwaji wa chama. Chama kimeitwa cha "Demokrasia" na "maendeleo" lakini demokrasia na maendeleo ndani ya chama hamna. Labda mzee Mtei na Bob Makani tu ndio walijitahidi kuuiheshimu katiba ya chama kwa kukaa madarakani vipindi viwili vya miaka mitano mitano kama isemavyo katiba ya chama chao. Na muda wao ulipoisha waliwaachia wengine kwa njia ya amani na sheria ya chama.

View attachment 1973864
No connection
 
Hata hii ya kukalia kiti bila kikomo ni UDIKTETA na kinyume na madhumuni ya uanzishwaji wa chama. Chama kimeitwa cha "Demokrasia" na "maendeleo" lakini demokrasia na maendeleo ndani ya chama hamna. Labda mzee Mtei na Bob Makani tu ndio walijitahidi kuuiheshimu katiba ya chama kwa kukaa madarakani vipindi viwili vya miaka mitano mitano kama isemavyo katiba ya chama chao. Na muda wao ulipoisha waliwaachia wengine kwa njia ya amani na sheria ya chama.

View attachment 1973864
Kwa nini usigombee weye ili yeye atoke?
 
Kwa nini usigombee weye ili yeye atoke?
Mi sio mwanasiasa na sina chama dada angu. Ila kwa vile mada inazungumzia udikteta basi nimeona umuhimu wa kukumbushia demokrasia ndan ya vyama ili kuondoa dhana ya udikteta vyamani. Na mtu mmoja asijifanye kuwa yeye ndio mwenye akili, mwenye uwezo wa kuongoza chama peke yake na mjuaji zaidi ya wenzake ambao hawezi kuwaachia chama waongoze nk.
 
Aliijua na alionya tusilete rais mpuuzi atatusumbua.Umesahau?
Ilitakiwa aibadili kwanza katiba yake ya kidikteta aliyoicopy toka kwa swahiba wake dikteta mao zedong wa China.
Kilichomsaidia asiwe pure blood dikteta yaani dikteta muuaji kama bokasa,mobutu,mugabe,moi,abacha nk,ni asili ya alipotoka alitoka kwenye familia yenye maadili na inayoheshimu utu.Angetoka kwenye familia za hovyo hovyo kama za madikteta hao wengine angemaliza watu. familia bora haiwezi zalisha dikteta.
 
Ilitakiwa aibadili kwanza katiba yake ya kidikteta aliyoicopy toka kwa swahiba wake dikteta mao zedong wa China.
Kilichomsaidia asiwe pure blood dikteta yaani dikteta muuaji kama bokasa,mobutu,mugabe,moi,abacha nk,ni asili ya alipotoka alitoka kwenye familia yenye maadili na inayoheshimu utu.Angetoka kwenye familia za hovyo hovyo kama za madikteta hao wengine angemaliza watu. familia bora haiwezi zalisha dikteta.
Lakini alikuwa muungwana na kukubali makosa yake.Alionya kwamba tusifuate makosa yake.Turekebishe.
 
Back
Top Bottom