JOYOPAPASI
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 250
- 408
Mwenyekiti nakushukuru sana kunipa heshima hii sikuitengemea nilikuwa najua Mawaziri Wakuu Wastaafu wapo wataongea kwa niaba yangu nashukuru sana.
Hakuna ubishi kwamba toka umechukua nchi; nchi inakwenda vizuri sana! Hakuna ubishi, yako mambo waliyokuwa wanasema hayawezekani sasa yanawezekana chini ya uongozi wako. Hakuna ubishi. Nchi imetulia na inakwenda kwa speed sana! Tunakuomba uendelee kufinya! Speed isipungue!; Iendelee vile vile kama ilivyoanza” - Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa
Mkutano Mkuu CCM 2020
Dodoma
TANZANIA INAZIDI KUFANIKIWA katika vita ya kiuchumi na KAZI INAENDELEA kujenga uchumi imara kwa Taifa*
#ccm2020
Hakuna ubishi kwamba toka umechukua nchi; nchi inakwenda vizuri sana! Hakuna ubishi, yako mambo waliyokuwa wanasema hayawezekani sasa yanawezekana chini ya uongozi wako. Hakuna ubishi. Nchi imetulia na inakwenda kwa speed sana! Tunakuomba uendelee kufinya! Speed isipungue!; Iendelee vile vile kama ilivyoanza” - Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa
Mkutano Mkuu CCM 2020
Dodoma
TANZANIA INAZIDI KUFANIKIWA katika vita ya kiuchumi na KAZI INAENDELEA kujenga uchumi imara kwa Taifa*
#ccm2020