Maneno ya Kiswahili yaliyotoholewa kutoka lugha mbalimbali

Kijerumani,Schule_shule,skuli(kiswahili)

Kiingereza, School ni kama vile 'skuli' inatumuka zaidi Zanzibar.
 
KISWAHILI.
Hela -- German HELLA.
Lakini -- kihindi LAKIN
bunduki-- kihindi BANDUKI.
Basi--kihindi BASI.
Mushkeli-- kihindi MUSHKEL
Thamani-- kihindi THAMAN
Mahaba-- kihindi MOHABAT
Dunia -- kihindi DUNIA.
bahari-- kihindi BAHARI.
kubali-- kihindi KABUL
rejea-- kihindi AGEA.
Kismati-- kihindi KISMAT.
Kanuni--hindi KANOON.
wakati-- MULAKAT.
Tayari-- Hindi TAYARI.
bibi-- Hindi MKE.
Baadae-- kihindi BAADME.
Shukran-- Hindi SHUKRIE.
Gari-- Hindi GARI.
Pagawa--hindi PAGAL.
Pesa-- Hindi PESA.
Sura--suraj.
Asilimia kubwa ya maneno hapa yana asili ya kiarabu kuliko kihindi
 
Kizaramo, Uloto_uloto(kiswahili)

tafsiri kwa Kiingereza ni 'Bone - marrow'
 
Kiarabu,swalat_kiswahili,Swala.
Kiarabu,Alkhamisu_Kiswahili,Alhamisi.
Kiarabu,Aljumaa_Kiswahili,Ijumaa.
Kiarabu,Subuhi_Kiswahili,Asubuhi.
Kiarabu,Safarat_Kiswahili, Safari
 
Vichokochoko.
Vichokochoko
Vi~inaonyesha uwingi
Choko~ni tusi
Chokochoko, hapa imerudiwa mara mbili imeleta maana tofauti hili ni neno la kiswahili halijatoholewa.
Njia hii ya kurudia rudia ni njia mojawapo ya uundaji wa maneno
mf.mbali-mbali,taka-taka.
 
"mwandende, post: 39994048, member: 416548"]
KISWAHILI.
Hela -- German HELLA.☑️
Lakini -- kihindi LAKIN❎
bunduki-- kihindi BANDUKI.
Basi--kihindi BASI.☑️
Mushkeli-- kihindi MUSHKEL❎
Thamani-- kihindi THAMAN
Mahaba-- kihindi MOHABAT
Dunia -- kihindi DUNIA.☑️
bahari-- kihindi BAHARI.
kubali-- kihindi KABUL❎
rejea-- kihindi AGEA.
Kismati-- kihindi KISMAT.
Kanuni--hindi KANOON.☑️
wakati-- MULAKAT.
Tayari-- Hindi TAYARI.
bibi-- Hindi MKE.
Baadae-- kihindi BAADME.
Shukran-- Hindi SHUKRIE.☑️
Gari-- Hindi GARI.
Pagawa--hindi PAGAL.
Pesa-- Hindi PESA.☑️Peisa
Sura--suraj.
...
Kiarabu, walakin na sio kihindi.
Kiarabu Mushkeli sio kihindi.

Kiarabu Kabul
 
Kutohoa ni kitendo cha kuchukua baadhi ya maneno kutoka lugha za kigeni{lugha jirani}na kuongeza maneno hayo katika lugha kusika.
Matumizi ya meneno hayo yanaweza yakafanana kati ya kimaandishi au kimatamshi au vyote kwa pamoja.
Wabobezi wa lugha wanadai kiswahili hakijitoshelezi kwa kuwa imeiga maneno mengi kutoka lugha za kigeni.

Mfano; Kiingereza, Office_Ofisi, Kiswahili.
Hapa ndo mnapo niudhi sana tena kichefu chefu!! kwa nini sisi tuige na si wao walituiga sisi?? wkt walitufuata huku Africa?!! kifupi tu waswahili tulitawala Misri ya kale yoote! tena miaka kibao tu!! Uajemi tulitawala sie! wkt huo ulaya haijulikani wazungu wanaishi mapangoni!!

Alexander the great aliye waheshimisha wazungu alipigana vita kuelekea Africa, yaani kusini mwa Ulaya akiilenga Misri na Middle east ya leo!!..penye Maendeleo Duniani wkt huo! km wao walikuwa vizuri kwa nini walikuja huku kwetu?

kwa sababu hizo wao ndo walituiga sisi Wabantu hatudanganyiki kamwe!!! ...na Kiswahili kiitwe Sayudire!! kifupi sisi wabantu ni WASAYUDIRE...swahili-= Yahudi revolutionists!-----abayudaya wao ni ndg zetu wao walikomaa mpaka leo!
 
Back
Top Bottom