dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 21,988
- 48,939
... ni uvivu tu; sekretari halihitaji kutoholewa - KATIBU MUHTASI.Kiingereza 'Secretary'_'sekretari' kiswahili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... ni uvivu tu; sekretari halihitaji kutoholewa - KATIBU MUHTASI.Kiingereza 'Secretary'_'sekretari' kiswahili
... ni kutoka lahaja za kiasili za kimwambao kuanzia pande za Lamu, Mombasa, Tanga, Pangani, Bagamoyo, hadi Kilwa bila kusahau Unguja na Pemba.Kudemka sijui itakuwa imetoholewa kutoka kwenye lugha gani.
... Kihindi "Lakh" (100,000); Kiswahili Laki.Kihindi 'Peisa'_'Pesa' kiswahili
... kihindi na kiarabu haviachani sana kwa baadhi ya maneno hadi matamshi. Uhindini (eneo lote la Western Everest hadi Eastern Iran; Afghanistan hadi Sri-Lanka) wamekuwa na muingiliano mkubwa sana kwa maelfu ya miaka na Bara Arabia kupitia Uajemi (Iran). That's why Arabic, Farsi, Hindi, Urdu, etc. zinafanana sana kimatamshi.Baadhi ya maneno ulioainisha ni Kiarabu na si Kihindi kama ulivyoelezea.
Tukisema hakijitoshelezi , Hata kingereza pia hakijitoshelezi, Wamekopa maneno mengi mno ya lugha za Kilatini na Kigiriki/ Kiyunani.Kutohoa ni kitendo cha kuchukua baadhi ya maneno kutoka lugha za kigeni{lugha jirani}na kuongeza maneno hayo katika lugha kusika.
Matumizi ya meneno hayo yanaweza yakafanana kati ya kimaandishi au kimatamshi au vyote kwa pamoja.
Wabobezi wa lugha wanadai kiswahili hakijitoshelezi kwa kuwa imeiga maneno mengi kutoka lugha za kigeni.
Mfano; Kiingereza, Office_Ofisi, Kiswahili.