Maneno ya Kiswahili Yaliyopotea

Bazazi

JF-Expert Member
Aug 18, 2008
2,806
3,476
Kuna baadhi ya maneno ya kiswahili yamepotea ktk matumizi ya kila leo. Ni maneno ambayo wakati mwingine yanaachwa ilhali lilikuwa neno moja na kubadilishwa na sentensi.

Baadhi ya maneno yaliyopotea hadhirani ni
1. Sigiri - Jiko la Mkaa
2. Msusa - Majani ya Maboga
3. Ankara - Bili
4. Kishida/Gagulo - Underskirt
5. Jokofu - Frigi
6. Kiyoyozi - AC
7. Kurunzi - Tochi
8. Bilauri - Glasi


Unakumbuka maneno gani yaliachwa kutumika siku hivi!?

Bazazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom