Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
NIMEMALIZA SALAMA NIKIWA CHADEMA
Leo tarehe 10 June, 2020 nimehitimisha rasmi wajibu wangu kama Diwani wa Kata ya Nyansurura ndani ya Halmashauri yetu ya Wilaya ya Serengeti.
Nimeutimiza wajibu huu nikiwa CHADEMA, nitaendelea kuwa CHADEMA na nimeomba tena ridhaa ya Chama chetu kuwa Mgombea wa nafasi ya Udiwani kupitia CHADEMA.
Nawashukuru sana Wananchi na Viongozi wenzangu wote wa Chama na Serikali tulioshirikiana pamoja wakati wote ambao nilikuwa Mwakilishi wa Wananchi wa Kata yetu.
Naishukuru sana familia yangu hasa Mke wangu Mpendwa Magdalena Wilbert na Watoto wetu Emanuel, Ibrahim na Mussa kwa Ushirikiano wa karibu walionipa ikiwemo kunitia Moyo.
Furaha yangu kubwa ni kuona nimehitimisha Kipindi hiki cha Miaka mitano nikiwa CHADEMA na nitaendelea kuwa CHADEMA hata nikiukosa Uwakilishi.
Garatwa,
Diwani & M/Kiti CHADEMA Serengeti.
10 June, 2020.
Hakika haya ni maneno ya kishujaa sana kutoka kwa huyu diwani pamoja na majaribu yoote ya kununuliwa lkn alipambana na kutimiza ndoto yake ya kuwahudumia walio mchagua.
Hongera Mh. Diwani
Leo tarehe 10 June, 2020 nimehitimisha rasmi wajibu wangu kama Diwani wa Kata ya Nyansurura ndani ya Halmashauri yetu ya Wilaya ya Serengeti.
Nimeutimiza wajibu huu nikiwa CHADEMA, nitaendelea kuwa CHADEMA na nimeomba tena ridhaa ya Chama chetu kuwa Mgombea wa nafasi ya Udiwani kupitia CHADEMA.
Nawashukuru sana Wananchi na Viongozi wenzangu wote wa Chama na Serikali tulioshirikiana pamoja wakati wote ambao nilikuwa Mwakilishi wa Wananchi wa Kata yetu.
Naishukuru sana familia yangu hasa Mke wangu Mpendwa Magdalena Wilbert na Watoto wetu Emanuel, Ibrahim na Mussa kwa Ushirikiano wa karibu walionipa ikiwemo kunitia Moyo.
Furaha yangu kubwa ni kuona nimehitimisha Kipindi hiki cha Miaka mitano nikiwa CHADEMA na nitaendelea kuwa CHADEMA hata nikiukosa Uwakilishi.
Garatwa,
Diwani & M/Kiti CHADEMA Serengeti.
10 June, 2020.
Hakika haya ni maneno ya kishujaa sana kutoka kwa huyu diwani pamoja na majaribu yoote ya kununuliwa lkn alipambana na kutimiza ndoto yake ya kuwahudumia walio mchagua.
Hongera Mh. Diwani