Maneno ya busara ya Obama yamtoa machozi Joe Biden

Habari wana JamiiForums.

Natumai muwazima wa afya tele.

Ndugu zangu bila kumumunya maneno kuna watu jamani wamejaliwa kuzungumza maneno ya busara hapa duniani.

Ukimsikiliza huyu bwana Obama unatamani uendelee kumsikiliza. Amezungumza maneno fulani yaliyo mtoa Joe Baden machozi.



Kwakweli Obama amebarikiwa kwa kuzungumza maneno ya hekima. I hope kusikia Joe Baden akizungumza kama Obama.

Mtu anayehamasisha ushoga ana hekima na busara gani?
 
Kama republican ingetawaliwa na mtu mwingine ukiacha Trump, wangeendelea kuchukua nchi jamaa kaharibu twaswira wa Republican pale State
 
Ili nielewe kiingereza niskilize nani sasa au wale wa english from england ?
hao ndo hutaelewa kabisa mkuu...by now mi naona english inayoeleweka ni ya watu kutoka America,Canada,SouthAfrica.
hawa wa Europe utapoteana.
UK wana zile accent zao za manchester,London nk. nk. na zinatofautiana yani huwezi kuelewa.


Ex. watu wa manchester wanatumia glottal 't' yaani hawaitamki t iliyo katikati kwenye maneno mengi
mfano water hawatamki 'wota' wanatamka wo'a

halafu 'th' kama ya neno myth wanaitamka kama 'f' (mif) ::::: na 'dh' kama kwenye neno them wanaitamka kama 'v' (vem)

Example
-That thursday I put butter in my water and gave the kitten



wataitamka
-vat farzdei ai put ba'a in my wo'a end gev the ki'en


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom