EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,083
Habari wana JamiiForums.
Natumai muwazima wa afya tele.
Ndugu zangu bila kumumunya maneno kuna watu jamani wamejaliwa kuzungumza maneno ya busara hapa duniani.
Ukimsikiliza huyu bwana Obama unatamani uendelee kumsikiliza. Amezungumza maneno fulani yaliyo mtoa Joe Baden machozi.
Kwakweli Obama amebarikiwa kwa kuzungumza maneno ya hekima. I hope kusikia Joe Baden akizungumza kama Obama.
Natumai muwazima wa afya tele.
Ndugu zangu bila kumumunya maneno kuna watu jamani wamejaliwa kuzungumza maneno ya busara hapa duniani.
Ukimsikiliza huyu bwana Obama unatamani uendelee kumsikiliza. Amezungumza maneno fulani yaliyo mtoa Joe Baden machozi.
Kwakweli Obama amebarikiwa kwa kuzungumza maneno ya hekima. I hope kusikia Joe Baden akizungumza kama Obama.