Maneno ya Baba wa taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere yametimia.

Chief Kabikula

JF-Expert Member
Jan 1, 2019
7,567
9,026
Baba wa taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakati wa uhai wake alionya kuwa katiba ya nchi hii inampa madaraka makubwa sana rais hivyo akipatikana rais dikteta ataitumia. Na akaonya kuwa hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamua nini? Sasa naona yametimia mifano ni mingi wewe umetekeleza jimbo, wewe unasimamishwa uwakili, wewe unatekwa, wewe unapotezwa n.k.
 
Raisi anatakiwa apewe madaraka makubwa ili asidharaulike, zaidi ya hapo hakuna maana ya kuwa Raisi....
Wanaharakati wanataka waiongoze nchi kama vile Baba mwenye remote mkononi anavyoamua nini kitazamwe na watoto walioka pembeni yake.

Wanaharakati wanataka waiongoze Tanzania nzima wao wakiwa hapa Dar, yaani maamuzi yote ya watu wa Njombe, Mbinga, Kanyigo na Muheza yazitegemee akili na uwezo wao wa kufikiria. Wasubiri huyu wa sasa aondoke ndipo nchi irudi chini ya ushawishi wao.
 
Wanaharakati wanataka waiongoze nchi kama vile Baba mwenye remote mkononi anavyoamua nini kitazamwe na watoto walioka pembeni yake.

Wanaharakati wanataka waiongoze Tanzania nzima wao wakiwa hapa Dar, yaani maamuzi yote ya watu wa Njombe, Mbinga, Kanyigo na Muheza yazitegemee akili na uwezo wao wa kufikiria. Wasubiri huyu wa sasa aondoke ndipo nchi irudi chini ya ushawishi wao.
wanaharakati gani unaowazungumzia ndugu,kina musihiba au??
 
Y
Baba wa taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakati wa uhai wake alionya kuwa katiba ya nchi hii inampa madaraka makubwa sana rais hivyo akipatikana rais dikteta ataitumia. Na akaonya kuwa hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamua nini? Sasa naona yametimia mifano ni mingi wewe umetekeleza jimbo, wewe unasimamishwa uwakili, wewe unatekwa, wewe unapotezwa n.k.
Yaani mifano tunapoitoa naomba tusimtaje huyu jamaa niukweli usiofichika yapo baadhi alijitahidi lakini mengi alitufelisha nakubwa sana Katiba yeye ndio alikuwa mkuu .kipindi chakutoka alitakiwa kuacha katiba Safi naukizingatia aliachia madaraka kwahiyari kwanguvu alizokuwa nazo hakutakiwa kutuachia katiba hii
 
Raisi anatakiwa apewe madaraka makubwa ili asidharaulike, zaidi ya hapo hakuna maana ya kuwa Raisi....
Kwani nani alikuambia duniani kote rais anadhaurika, rais anatakiwa kufuata sheria na katiba aliyoapa kuilinda, vilevile kutumia busara, hekima na karama za uongozi.
 
Haya kamwambia Fatuma umewakilisha vema
Huu mchezo wa rais kulala na kuamka, wewe wafukuze huko bungeni mimi niwashughulikie huku, msaliti hawezi kusurvive, jimbo limetelekezwa, huyu simamisha uwakili nchi haiongozwi hivyo karne hii labda during dark ages.
 
Unaakili sana mkuu
Kweli kaifanyia mengi hii nchi, watu hakuna ajira toka ameingia madarakani , hakuna mshahara kupanda, madaraja, biashara zimefungwa, sekta binafsi imekufa, mzunguko wa fedha umekufa, watu wanatekwa, wanauawa, wanafungwa kwenye viroba,uhusiano wa kimataifa na uwekezaji umekufa, demokrasia na haki za binadamu zinavunjwa hadharani.Hakuna utawala bora mihimili yote inaingiliwa na mhimili uliojichimbia zaidi.
 
Back
Top Bottom