Maneno ya Baba Askofu Augustine Shao, mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Zanzibar.

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
Maneno ya Baba Askofu Augustine Shao, mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Zanzibar.
__
"Demokrasia ni kutofautiana kimawazo, kama nchi inafuata mfumo wa demokrasia basi imekubali watu wake kutofautiana mawazo. Demokrasia ni kama mpira wa miguu kila timu lazima icheze kwa bidii ili ishinde. Umewahi kuona wapi wachezaji wa timu moja wamefungwa miguu uwanjani huku wenzao wakicheza? Ushindani wenye tija ni lazima uwe ushindani wa haki"
____
Askofu Augustine Shao,
Jimbo Katoliki - Zanzibar.
FB_IMG_1514728152855.jpg
 
Naikumbuka awamu ya NNE pale Zanzibar palitaka kuleta udini na watu walikufa. Maasikofu wasijifanye wanasahau.

Hivi ile ndio democrasia inayotakiwa. Ama ya kuongea tu basi.

Maana JK alijitahidi sana kuwaacha watu waongee na mwisho Wa Siku wakaibua hisia hadi za watu wakachoma makanisa wakakatazana hadi kuchinja.. Watu wakauana. N.k.

Ngosha katuliza fyokofyoko zote hizo.

Fanyeni kazi achaneni na manenomaneno
 
Zimbabwe imekuwaje tena!!
Kuna uzi uleletwa hapa kwamba Baba Askf hakutoa sifa zile kwa kuropoka bali alikuwa anamaanisha kitu flani
 
Naikumbuka awamu ya NNE pale Zanzibar palitaka kuleta udini na watu walikufa. Maasikofu wasijifanye wanasahau.

Hivi ile ndio democrasia inayotakiwa. Ama ya kuongea tu basi.

Maana JK alijitahidi sana kuwaacha watu waongee na mwisho Wa Siku wakaibua hisia hadi za watu wakachoma makanisa wakakatazana hadi kuchinja.. Watu wakauana. N.k.

Ngosha katuliza fyokofyoko zote hizo.

Fanyeni kazi achaneni na manenomaneno
Umeusoma kweli uzi kwa makini! Ujumbe wa Askofu una uhusiano gani na kuchomwa makanisa awamu iliyopita?
 
Huyu si ndie aliyesema Maguf anafanana kwa kila kitu na Mugabe? majuzi nimesikia wakimdhihaki kuwa anajifanya anasifia kumbe anatoa kashfa
Raisi amekuwa mbabe, na ameruhusu wasaidizi wake kuwa wababe watu wanaonewa, wanateswa wanashindwa kuongea.
Naikumbuka awamu ya NNE pale Zanzibar palitaka kuleta udini na watu walikufa. Maasikofu wasijifanye wanasahau.

Hivi ile ndio democrasia inayotakiwa. Ama ya kuongea tu basi.

Maana JK alijitahidi sana kuwaacha watu waongee na mwisho Wa Siku wakaibua hisia hadi za watu wakachoma makanisa wakakatazana hadi kuchinja.. Watu wakauana. N.k.

Ngosha katuliza fyokofyoko zote hizo.

Fanyeni kazi achaneni na manenomaneno
 
Back
Top Bottom