Maneno mazito ya hukumu ya jaji Rumanyika dhamana ya kina Mbowe ina kiashiria kuna mahakimu wanafanya kazi kwa shinikizo la amri toka juu?

Synthesizer

JF-Expert Member
Feb 15, 2010
11,143
18,774
Nimesoma kwa makini taarifa juu ya hukumu ya jaji Rumanyika kuhusu Mbowe na matiko kuachiwa kwa dhamana. Zaidi ya kutengua uamumuzi wa mahakama ya Kisutu, jaji Rumanyika ametamka wazi kwamba

1552029913468.png
1552029939559.png
1552030155108.png


Hukumu ya jaji Rumanyika, kwa mtu yeyote mwenye akili, inaonyesha kwamba kuna jambo haliko sawa kuhusu hizi mahakama za mwanzo ambazo mara nyingi ndio husikiliza kesi za kisiasa kama ya kina Mbowe. Haingii akilini kwamba hakimu aliyetoa hukumu pale Kisutu juu ya suala la kina Mbowe ni mwepesi kiasi hiki katika kuelewa sheria, hadi "akamstaajabisha" jaji Rumanyika kwa kiwango alichosema.

Nimeshasema humu JF kwamba katika awamu ya tano kumekuwa na kila ishara kwamba serikali huwa inawafungulia mashitaka wanasiasa wa upinzani, na kutumia vipengele vya kisheria (legal technicalities) kwa namna ambayo katika hali ya kibinadamu inapita mipaka. Ofisi ya mwendesha mashitaka na wanasheria wa serikali kufanya kazi kwa amri toka juu hilo liko wazi, wala sio siri tena. Ni wazi lengo ni kuwakomoa wanasiasa wa upinzani kwa kuwaweka rumande muda mrefu inavyowezekana kwa visingizio vya kisheria. Sintashangaa basi, ili kufanikisha hili, kwamba serikali inashirikiana pia na baadhi ya mahakimu, aidha kwa kuwa baadhi ya mahakimu wana ushabiki wa kisiasa au kwa huwa wanakuwa wamepewa maagizo toka juu. Hii ni hatari sana kwa nchi yetu. Mahakimu jitambueni, kutumika kisiasa huwa kuna mwisho wake, na mara nyingi si mwisho mzuri.
 
Siku huyu jaji akihukumu kiongozi wa upinzani atageukwa na kuitwa dikteta anayetumika na ccm .

Awe tayari maana siyo kila kesi anayopelekewa wapinzani watashinda tu na asitarajie kama wapinzani wakishindwa watamsifia kwa kusimamia sheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku huyu jaji akihukumu kiongozi wa upinzani atageukwa na kuitwa dikteta anayetumika na ccm .

Awe tayari maana siyo kila kesi anayopelekewa wapinzani watashinda tu na asitarajie kama wapinzani wakishindwa watamsifia kwa kusimamia sheria

Sent using Jamii Forums mobile app
Toa uharo wako hapa nendeni mkamkatieni viuno mwalimu wa baba yenu kipara pale JKI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku huyu jaji akihukumu kiongozi wa upinzani atageukwa na kuitwa dikteta anayetumika na ccm .

Awe tayari maana siyo kila kesi anayopelekewa wapinzani watashinda tu na asitarajie kama wapinzani wakishindwa watamsifia kwa kusimamia sheria

Sent using Jamii Forums mobile app
Issue ilikuwa ni rufaa yao,ndo maana jaji ameshangaa sheria alizotumia aliyekuwa hakimu wa kesi ile,yaani watu wako mahakamani halafu inatoka order ya kureport polisi kila wiki( nisaidie hii mkuu)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Issue ilikuwa ni rufaa yao,ndo maana jaji ameshangaa sheria alizotumia aliyekuwa hakimu wa kesi ile,yaani watu wako mahakamani halafu inatoka order ya kureport polisi kila wiki( nisaidie hii mkuu)

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilielewa pia kwamba hakimu anasema ni kama waliwekwa ndani kwa kukiuka dhamana ambayo haikuwapo! Na pia kama dhamana ilkuwa kuripoti kwa RPC, iko wapi taarifa ya RPC kwamba hawakuwa wakiripoti? Niliona kama aliashiria kwamba kutofika mahakamani siku ambayo hawakufika so kukiuka dhamana, ambayo haikuwapo anyway.

Jaji Rumanyika amemfanya huyu hakimu aonekane kama kihiyo wa sheria
 
Siku huyu jaji akihukumu kiongozi wa upinzani atageukwa na kuitwa dikteta anayetumika na ccm .

Awe tayari maana siyo kila kesi anayopelekewa wapinzani watashinda tu na asitarajie kama wapinzani wakishindwa watamsifia kwa kusimamia sheria

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika natural mathematics, 1+1=2. Ukisema ni TATU, hata jiwe litalalamika! HATA PUNDA BARABARANI WATAPIGA HORN ZAO! That is what is going on in some of these magistrate's courts officials! Definetely ukimanipulate ukaingiza matrimonial mathematics ambazo huwa 1+1=1, then those with common intelligence will question your intergrity!
Sidhani kama hakimu akisema 1+1=2 kuna mtu atalalamika! Na kweli hata umma wote ukaona kuwa kweli 1+1=2, hakuna mtu atalalamika!
Elitwege, nina mashaka na intergrity of your upstairs, sijui kama umenielewa maana Lumumba Mh! Erythrocyte Salary Slip
 
Katika natural mathematics, 1+1=2. Ukisema ni TATU, hata jiwe litalalamika! HATA PUNDA BARABARANI WATAPIGA HORN ZAO! That is what is going on in some of these magistrate's courts officials! Definetely ukimanipulate ukaingiza matrimonial mathematics ambazo huwa 1+1=1, then those with common intelligence will question your intergrity!
Sidhani kama hakimu akisema 1+1=2 kuna mtu atalalamika! Na kweli hata umma wote ukaona kuwa kweli 1+1=2, hakuna mtu atalalamika!
Elitwege, nina mashaka na intergrity of your upstairs, sijui kama umenielewa maana Lumumba Mh! Erythrocyte Salary Slip
Well said Mkuu. Kuna watu kama hawa ni wa kuwapuuza tu. Hakuna wanachokiona kwa kuwa wamepofushwa na mahaba ya kisiasa!
 
Siku huyu jaji akihukumu kiongozi wa upinzani atageukwa na kuitwa dikteta anayetumika na ccm .

Awe tayari maana siyo kila kesi anayopelekewa wapinzani watashinda tu na asitarajie kama wapinzani wakishindwa watamsifia kwa kusimamia sheria

Sent using Jamii Forums mobile app
Wahiyo 6:6-8 inasema "Atendae jema ni mwema kwa wakati huo na atendae ubaya ni mbaay kwa wakati huo. Amini nawaambia sio kika mwema hudumu jemani. Naliangalia agizo la roho ya mbali"
 
Siku huyu jaji akihukumu kiongozi wa upinzani atageukwa na kuitwa dikteta anayetumika na ccm .

Awe tayari maana siyo kila kesi anayopelekewa wapinzani watashinda tu na asitarajie kama wapinzani wakishindwa watamsifia kwa kusimamia sheria

Sent using Jamii Forums mobile app
Deal na facts achana na upumbavu wako kichwani,usiwe senseless kama una mental disorder!!
 
Mkuu umesema "Sintashangaa basi, ili kufanikisha hili, kwamba serikali inashirikiana pia na baadhi ya mahakimu". Hili lisikushangaze, maana aliyetekeleza hili la akina Mbowe, tayari kesha zawadiwa ujaji. Nakumbuka alipoulizwa kama kuteuliwa kulikuwa na uhusiano wowote na uamuzi wake wa kufuta rufani ya akina Mboye, alikataa akisisitiza kuwa alifuata sheria. Kama ni hivyo, mbona jaji ame mvua nguo? Jee kwa maamuzi yake kuna weledi wa kupandishwa na kuwa jaji?
 
Issue ilikuwa ni rufaa yao,ndo maana jaji ameshangaa sheria alizotumia aliyekuwa hakimu wa kesi ile,yaani watu wako mahakamani halafu inatoka order ya kureport polisi kila wiki( nisaidie hii mkuu)

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huyu bwana Mbowe maishani ataweza kushindwa kuhudhulia kesi yake hata dakika moja kama yuko nje kwa dhamana? Nafikiri atakuwa analala nje ya mahakama kusudi awahi kesho yake! Yalikuwa mateso, mtu unaswekwa ndani miezi mitatu hivi hivi! It is not r
 
Back
Top Bottom