Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,215
Hakika huyu ni mpakwa mafuta ambaye ni suala la muda tuu litatimia kusudio la MUNGU.
Ninachomuomba Lissu ni kuiga tabia ya hayati Mandela ya kutokuwa na visasi kwani katika hali ya kawaida hapo ukisikiliza kuna watakao kuwa kwenye wakati mgumu na kutegemea huruma na utu wa Lissu pekee kwani matendo yao yalikuwa ya kishetani.