GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
Ha ha ha! Kwa hiyo unamaanisha hawastahili kupewa class? ni kuvuta tu mkono (twende kilioni)
Mkuu hawa wa kizazi hiki ukiwapa class utapata tabu sana, utahangaika kufuata hizo process ila kuna jamaa jingine litavuta mkono tu linaenda kula. Achana kuwapa class hawa viumbe akili zao ni hizo hizo