Maneno machache kwa ndugu yetu Maxence Melo

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,888
143,985
Naamini wewe ni mkiristo na hivyo nakuomba ukirejee kitabu kitakatifu cha Biblia kuhusu mateso ya Yesu Kristo huku JamiiForums ukiichulia kama Msalaba na wewe binafsi ukiwa umebeba Msalaba huo mithili ya Yesu Kristo na mapito unayopitia kama mijeledi na misumari aliyopigwa Bwana Yesu pale msalabani lakini kamwe usisahau kama jinsi Yesu alivyoshinda mauti. Vivyo hivyo ndio nawe utaja shinda kesi hii na kuwakomboa Wana-JamiiForums kama jinsi Yesu alivyowakomba wanadamu.

Halikadhalika ndugu Max usisahau kuwasamehe wote wanaokutendea haya kama jinsi Yesu alivyowasemehe Wayahudi waliomtesa maana Yesu aliwasamehe kwasababu walikuwa hawajui walitendalo hivyo hata hawa wanaokutendea haya leo hii huenda nao hawajui walitendalo.

Inawezekana wako wanaokukejeli katika mapito haya lakini usisahau hata Yesu alidhihakiwa vile vile.
 
Pole zake sana kwa yote yaliyomkuta, asiogope na sasa ndiyo azidi kufanya Kazi kwa bidii na kuwa mbunifu zaidi ya ilivyokuwa. Dua / Maombi yetu kwake ni ulinzi tosha na akae akijua Mwenyezi Mungu anampenda mno na ndiyo maana ameweza kuona kwa siku tano ( 5 ) alizokuwa rumande Central Police na Keko Dunia nzima imepaza Sauti ili aachiwe huru na ameweza kukubalika mno kitu ambacho ni dalili njema kuwa anakubalika kuanzia na Mungu mwenyewe hadi na sisi Wanadamu.

Kila siku tutakuwa nae pamoja iwe ni katika Shida au Raha na akae akijua kuwa Wana JF wote kasoro Mangumbaru wachache tu na tena wanaohesabika.

TUNAMPENDA SANA Ndugu Maxence Melo.
 
Amen.

Mungu pia aendelee kumpa ujasiri wa kuusimamia msimano wake wa kuilinda JamiiForums na kulinda usiri wa watumiaji wake.

Hata hivyo aongozwe pia na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, Ibara ya 18 ambayo inampa uhuru kila mwananchi wa nchi hii kutoa maoni yake kuhusiana na nchi yake ya Tanzania.

Hata hivyo kwa kuwa watawala wetu wanaendelea 'kuisigina' Katiba ya nchi yetu kwa kutotaka kuutambua uhuru huo wa wananchi ulio ndani ya Katiba yetu, hatuna budi watanzania wote kwa ujumla wetu tupaze sauti zetu kwa nguvu zetu zote na kutamka kuwa watawala wetu WASHINDWE na WALEGEE katika njama zao hizo za kutaka kuivunja Katiba ya nchi yetu kwa makusudi kabisa kwa kutaka kuminya uhuru wa wananchi wake wa kutoa maoni yao bila kubughuziwa.
 
Jamaa ana roho nyeupe sana ,niliona hilo kwenye ile press conference baada ya kupewa dhamana ,Kuna swali ambalo najiuliza na sipatagi majibu ,Kwanini wenye roho nzuri ndio wanapitia mazito kwenye dunia hii ?
 
You don't but others clearly do as you've already seen. You must speak for yourself not everyone and I'm certain you know that.
Its always quite dangerous to mix religion and politics, not least because the JF members are not keen on it, and the pro udini and dini types tend to misrepresent it whenever it happen

Afterall if he was there Max should have never been at the lyons den for 1 week

We don't do god
 
inconvenient truths, like your name sake, why fear the truth? Is it inconvenient to you?

And why fear religion and politics if and especially because these are the tenets of human nature? I happen to be doing both and I find a peculiar unique niche mingling in ideologies and ideological discourses...where does the separation begins between religion and politics?

By the way Jesus was killed by Jews for political religious reasons: for religious reasons on political reasoning. On a mature note: religion of politics is the whole nature of political body. If then the King was anointed by a Bishop and now Bishops and Sheikhs attend and testify to kingly anointing; when do they part?
 
inconvenient truths, like your name sake, why fear the truth? Is it inconvenient to you?

And why fear religion and politics if and especially because these are the tenets of human nature? I happen to be doing both and I find a peculiar unique niche mingling in ideologies and ideological discourses...where does the separation begins between religion and politics?

By the way Jesus was killed by Jews for political religious reasons: for religious reasons on political reasoning. On a mature note: religion of politics is the whole nature of political body. If then the King was anointed by a Bishop and now Bishops and Sheikhs attend and testify to kingly anointing; when do they part?

Wow! I had to read this slowly and carefully since therein lies answers to millions of questions. Am glad JF is teeming with people like you, whoever you are, may God bless you.
 
inconvenient truths, like your name sake, why fear the truth? Is it inconvenient to you?

And why fear religion and politics if and especially because these are the tenets of human nature? I happen to be doing both and I find a peculiar unique niche mingling in ideologies and ideological discourses...where does the separation begins between religion and politics?

By the way Jesus was killed by Jews for political religious reasons: for religious reasons on political reasoning. On a mature note: religion of politics is the whole nature of political body. If then the King was anointed by a Bishop and now Bishops and Sheikhs attend and testify to kingly anointing; when do they part?
CC: Maxence Melo
 
Its always quite dangerous to mix religion and politics, not least because the JF members are not keen on it, and the pro udini and dini types tend to misrepresent it whenever it happen

Afterall if he was there Max should have never been at the lyons den for 1 week

We don't do god
You obviously don't do 'god' but what about 'God'? Anyway, why don't just speak for yourself?
 
inconvenient truths, like your name sake, why fear the truth? Is it inconvenient to you?

And why fear religion and politics if and especially because these are the tenets of human nature? I happen to be doing both and I find a peculiar unique niche mingling in ideologies and ideological discourses...where does the separation begins between religion and politics?

By the way Jesus was killed by Jews for political religious reasons: for religious reasons on political reasoning. On a mature note: religion of politics is the whole nature of political body. If then the King was anointed by a Bishop and now Bishops and Sheikhs attend and testify to kingly anointing; when do they part?
Hon Mghwira, you just took me back to philosophy class (Phil 102). Oh What refresher! Anyway, whoever calls himself "inconvenient truth" is just trying to run away from reality, which is practically impossible. Good to have you around, madam!
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom