Mpasuajipu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 836
- 49
Kiswahili kweli ni lugha masikini, maneno mengi yanatumika kwa maana tofauti na hivyo huweza kuwachanganya watumiaji:
Mfano:
1. Kufika= kuwasili sehemu fulani, kufikia hamu katika tendo la ndoa,
mf. Amekaribia kufika nyumbani.
au Mmmh leo nataka kufika kileleni.
2. Kutafuna= kusaga kitu kwa meno,hasa chakula
siku hizi neno hili pia linatumika km vile kutafuna pesa za umma.
kutafuna (ktk mapenzi) = kutembea na mwanamke. utasikia aah, yule nilisha mtafuna.
3. Kutia= kuweka kitu au kuingiza kitu ndani ya kingine.
neno hili pia hutumika kwa ilee, pale jogoo anapoparamia mtungi.
na yapo maneno mengi yanayogeuzwa maana na kutumika tofauti na yalivyokusudiwa.
je ndio kusema kwamba kiswahili hakina misamiati ya kutosha ?.
Mfano:
1. Kufika= kuwasili sehemu fulani, kufikia hamu katika tendo la ndoa,
mf. Amekaribia kufika nyumbani.
au Mmmh leo nataka kufika kileleni.
2. Kutafuna= kusaga kitu kwa meno,hasa chakula
siku hizi neno hili pia linatumika km vile kutafuna pesa za umma.
kutafuna (ktk mapenzi) = kutembea na mwanamke. utasikia aah, yule nilisha mtafuna.
3. Kutia= kuweka kitu au kuingiza kitu ndani ya kingine.
neno hili pia hutumika kwa ilee, pale jogoo anapoparamia mtungi.
na yapo maneno mengi yanayogeuzwa maana na kutumika tofauti na yalivyokusudiwa.
je ndio kusema kwamba kiswahili hakina misamiati ya kutosha ?.