Maneno kugeuzwa maaana je kiswahili ni lugha maskini?

Mpasuajipu

JF-Expert Member
Oct 22, 2010
836
49
Kiswahili kweli ni lugha masikini, maneno mengi yanatumika kwa maana tofauti na hivyo huweza kuwachanganya watumiaji:

Mfano:
1. Kufika= kuwasili sehemu fulani, kufikia hamu katika tendo la ndoa,
mf. Amekaribia kufika nyumbani.
au Mmmh leo nataka kufika kileleni.

2. Kutafuna= kusaga kitu kwa meno,hasa chakula
siku hizi neno hili pia linatumika km vile kutafuna pesa za umma.
kutafuna (ktk mapenzi) = kutembea na mwanamke. utasikia aah, yule nilisha mtafuna.

3. Kutia= kuweka kitu au kuingiza kitu ndani ya kingine.
neno hili pia hutumika kwa ilee, pale jogoo anapoparamia mtungi.

na yapo maneno mengi yanayogeuzwa maana na kutumika tofauti na yalivyokusudiwa.

je ndio kusema kwamba kiswahili hakina misamiati ya kutosha ?.
 
Kiswahili kweli ni lugha masikini, maneno mengi yanatumika kwa maana tofauti na hivyo huweza kuwachanganya watumiaji:

Mfano:
1. Kufika= kuwasili sehemu fulani, kufikia hamu katika tendo la ndoa,
mf. Amekaribia kufika nyumbani.
au Mmmh leo nataka kufika kileleni.

2. Kutafuna= kusaga kitu kwa meno,hasa chakula
siku hizi neno hili pia linatumika km vile kutafuna pesa za umma.
kutafuna (ktk mapenzi) = kutembea na mwanamke. utasikia aah, yule nilisha mtafuna.

3. Kutia= kuweka kitu au kuingiza kitu ndani ya kingine.
neno hili pia hutumika kwa ilee, pale jogoo anapoparamia mtungi.

na yapo maneno mengi yanayogeuzwa maana na kutumika tofauti na yalivyokusudiwa.

je ndio kusema kwamba kiswahili hakina misamiati ya kutosha ?.


maneno yako mengine ni ya mtaani wewe....nenda nchi zingine tena tajiri za maneno hayo hayo unayoyasema kwa kiswahili pia yanamaanisha vile vile, ukipm ntakwambia other languages....achana na Kingoswe pia ni maskini wa maneno...
 
Hilo ni jambo la kawaida katika lugha. Ndio maana unatakiwa ujue rejesta i.e lugha fulani kwa matumizi fulani. Hiyo ni misimu au maneno ya mtaani (slangs) ambayo yanaweza baada ya muda yakapata mashiko yakaingizwa katika lugha. Na pia sio ajabu neno moja kubeba dhana zaidi ya moja. Mf Kufika kileleni ni sahihi tu. hayo mengine ni misimu tu ambayo wanaelewa watu wa rika fulani tu.
 
maneno yako mengine ni ya mtaani wewe....nenda nchi zingine tena tajiri za maneno hayo hayo unayoyasema kwa kiswahili pia yanamaanisha vile vile, ukipm ntakwambia other languages....achana na Kingoswe pia ni maskini wa maneno...

Tatizo la huyu jamaa maneno yote yanayomtatiza yana uhusiano na ngono. Ana dalili za ugonjwa wa hyper-ngono-emia! Lakini kuna maneno ambayo hayatosherezi. Kuna wakati nilikuwa nafanya ukarimani, mwingereza akafululiza maneno haya "Shame, reproach, disgrase", ungekuwa wewe ungesemaje?
 
Kiswahili ni lugha mbichi, viraka kibao, haiwezi kutumika kitaalamu, au viraka vinajazwa na maneno ya kiarabu, inakera sana, si japo wajaze kwa maneno ya kibantu?
 
Back
Top Bottom