SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
Haya maneno yana maana gani kwa jinsi yalivyotumika kwenye hizi methali?
1. Kisokula, sera, nale => (Kisokula mlimwengu,sera nale)
2. Konzo => (Konzo ya maji haifumbatiki)
3. Lila, fila => (Lila na fila hazitangamani)
4. Mchama, ago, hanyeli, akauya => (Mchama ago hanyeli,huenda akauya papo)
5. Mgaagaa, upwa => (Mgaagaa na upwa hali wali mkavu)
6. Shibiri, pima => (Ukipewa shibiri usichukue pima)
7. Tonga => (Tonga si tuwi)
8. Ukambaa => (Ukuukuu wa kamba Si upya wa ukambaa)
9. Mbachao, msala => (Usiache mbachao kwa msala upitao)
Nakumbuka tulikuwa tunafundishwa shuleni lakini sijui kwa nini tulikuwa hatudodosi maana ya haya maneno achilia mbali maana ya kijumla ya methali yenyewe.
Karibuni tufunzane.
1. Kisokula, sera, nale => (Kisokula mlimwengu,sera nale)
2. Konzo => (Konzo ya maji haifumbatiki)
3. Lila, fila => (Lila na fila hazitangamani)
4. Mchama, ago, hanyeli, akauya => (Mchama ago hanyeli,huenda akauya papo)
5. Mgaagaa, upwa => (Mgaagaa na upwa hali wali mkavu)
6. Shibiri, pima => (Ukipewa shibiri usichukue pima)
7. Tonga => (Tonga si tuwi)
8. Ukambaa => (Ukuukuu wa kamba Si upya wa ukambaa)
9. Mbachao, msala => (Usiache mbachao kwa msala upitao)
Nakumbuka tulikuwa tunafundishwa shuleni lakini sijui kwa nini tulikuwa hatudodosi maana ya haya maneno achilia mbali maana ya kijumla ya methali yenyewe.
Karibuni tufunzane.