Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
Yamkini yalikuwa kwa ajiri yako wewe, unayesoma ujumbe huu.
Au kama siyo wewe basi rafiki yako, na kama siyo rafiki yako basi ni ndugu yako.
Na kama hao wote hayawahusu ila kuna kitu utajifunza.
Ili ukawafunze wengine.
UJUMBE HUU NI KWA AJIRI YA WANAWAKE
Ila kwa kuwa hakuna mwanamke bila mwanaume, basi hata mwanaume unamhusu pia.
Kwanza kabisa fahamu msemo huu.
"Ukikuta pesa njiani, iokote, hata kama huihitaji, yamkini mbeleni ukakutana na omba omba, ukampatia akasema ubarikiwe, na mwisho ukajikuta na wewe unapata unachotaka kutokana na asante uliyopata kwa yule uliyemsaidia"
Basi na mimi niliyachukua haya kama yalivyo.
Huyo mtu mwenye hekima na busara nyingi Alisema kwamba wanawake walioko FORM 6 na wale walioko VYUO.
Hususani wale wa miaka 20-27
Huwa wanafanya makosa makubwa sana.
Nilipomuuliza ni makosa gani, alinitazama usoni na kuniambia
Wanapoteza FURSA kwa watu waliokuwa SERIOUS kujenga nao malengo ya kimaisha, kwa ajiri ya baadae.
Na wanakuja kuijutia nafasi hiyo baada ya kufikia umri wa miaka 28-30.
Aliniambia, wanawake wengi wenye miaka 20-27, huwa WANAMTAZAMA MWANAUME hali aliyonayo kwa sasa.
Wakishaona hana pesa, hana kazi ya uhakika, hana maisha.
Alisema kwambaSIWATUKANI wanawake, ila ukweli ni kwamba, vijana wengi wa kike HAWANA VISION-(maono)
Ndio maana wanashindwa kuwatambua WANAUME WENYE MAONO.
.
Ndio maana wanapoteza NAFASI kwa wanaume WENYE VISION na kuwakimbilia wale wenye TELEVISION
Kwa sababu mtu mwenye maono ni rahisi kumtambua mwenye MAONO mwenzake.
Lakini asiye na MAONO ni ngumu kumtambua mwenye MAONO (the law of attraction).
Hii ndiyo sababu, wengi wanapoteza wanaume wa MAANA kwa sababu ya wanaume wenye MALI.
.
Wanampotezea hata kama ALIDHAMIRIA KWELI KUWEKA NAYE MALENGO
Na kwa kuwa wanawake ni wengi, basi, mwanaume huyo hata kama alimpenda kwa dhati, huamua kuupa TAABU moyo kwa kwenda kutafuta mwingine.
Kwa sababu wahenga walisema mwenye mbili havai moja Basi hivyo ndivyo wanavyofanya.
Kimbembe kinakuja pale mwanamke huyo ALIYECHEZEA NAFASI Miaka kadhaa iliyopita
Anapofikia miaka ya 28-30+ anaanza kupata stress.
Alinisisitizia kwamba katika miaka 20-27 hakuna mwanamke YEYOTE asiyetokewa na mtu ambaye yuko serious kujenga naye malengo, maana hicho kipindi ni kipindi cha kustawi na kunawili, ni lazima ua likichanua wadudu wanavutiwa
Ila bahati mbaya, kipindi hicho, wanawake wengi HUANGALIA wale wenye PESA TU ambao hata hawana malengo nao.
Kipindi cha 20-27, wanawake wengi wanaharibu FUTURE zao kwa kutembea na MATAJIRI, MABOSS na VIJANA WENYE HELA kwa ajiri ya starehe tu.
Mwisho wa siku wengi huishia kutoa mimba, na kutumikishwa na wenye hela wasio na UCHUNGU na UTU wao.
Alipofikia hapo, nilinyamanza kimya nikawa namsikiliza.
Akaniuliza swali, unajua ni kwanini mwanamke anapata tabu miaka ya 20-30+?
Nilimjibu Sijui (ili aendelee)
Basi, akaniambia ni kwa sababu anayeweza kumwoa mwanamke wa miaka 28-30 anamhitaji mwanaume mwenye miaka kuanzia 33,35, au zaidi
Na bahati mbaya wanaume wengi katika miaka hiyo ya 30+ wanakuwa tayari wana familia zao, yaani wameshaoa.
Akaniambia unajua Wanachokifanya inapotokea hali hiyo?
Wengi huamua kuendelea kudate na waume za watu
Na wengine huamua kuzalia nyumbani, ili kumaliza ubishi
Na wengine huamua kujikunyata tu na kuwa wanyonge wakisubiri MUUJIZA kutoka kwa Mungu.
Na wengine huamua kuwa wahuni TOTALLY.
Nilipoyatafakari hayo nikawa sina cha kuongezea.
Sijui kwa upande wako unayaonaje hayo, je yana ukweli ndani yake?
"LIVE A GREAT LIFE"
Au kama siyo wewe basi rafiki yako, na kama siyo rafiki yako basi ni ndugu yako.
Na kama hao wote hayawahusu ila kuna kitu utajifunza.
Ili ukawafunze wengine.
UJUMBE HUU NI KWA AJIRI YA WANAWAKE
Ila kwa kuwa hakuna mwanamke bila mwanaume, basi hata mwanaume unamhusu pia.
Kwanza kabisa fahamu msemo huu.
"Ukikuta pesa njiani, iokote, hata kama huihitaji, yamkini mbeleni ukakutana na omba omba, ukampatia akasema ubarikiwe, na mwisho ukajikuta na wewe unapata unachotaka kutokana na asante uliyopata kwa yule uliyemsaidia"
Basi na mimi niliyachukua haya kama yalivyo.
Huyo mtu mwenye hekima na busara nyingi Alisema kwamba wanawake walioko FORM 6 na wale walioko VYUO.
Hususani wale wa miaka 20-27
Huwa wanafanya makosa makubwa sana.
Nilipomuuliza ni makosa gani, alinitazama usoni na kuniambia
Wanapoteza FURSA kwa watu waliokuwa SERIOUS kujenga nao malengo ya kimaisha, kwa ajiri ya baadae.
Na wanakuja kuijutia nafasi hiyo baada ya kufikia umri wa miaka 28-30.
Aliniambia, wanawake wengi wenye miaka 20-27, huwa WANAMTAZAMA MWANAUME hali aliyonayo kwa sasa.
Wakishaona hana pesa, hana kazi ya uhakika, hana maisha.
Alisema kwamba
Ndio maana wanashindwa kuwatambua WANAUME WENYE MAONO.
.
Ndio maana wanapoteza NAFASI kwa wanaume WENYE VISION na kuwakimbilia wale wenye TELEVISION
Kwa sababu mtu mwenye maono ni rahisi kumtambua mwenye MAONO mwenzake.
Lakini asiye na MAONO ni ngumu kumtambua mwenye MAONO (the law of attraction).
Hii ndiyo sababu, wengi wanapoteza wanaume wa MAANA kwa sababu ya wanaume wenye MALI.
.
Wanampotezea hata kama ALIDHAMIRIA KWELI KUWEKA NAYE MALENGO
Na kwa kuwa wanawake ni wengi, basi, mwanaume huyo hata kama alimpenda kwa dhati, huamua kuupa TAABU moyo kwa kwenda kutafuta mwingine.
Kwa sababu wahenga walisema mwenye mbili havai moja Basi hivyo ndivyo wanavyofanya.
Kimbembe kinakuja pale mwanamke huyo ALIYECHEZEA NAFASI Miaka kadhaa iliyopita
Anapofikia miaka ya 28-30+ anaanza kupata stress.
Alinisisitizia kwamba katika miaka 20-27 hakuna mwanamke YEYOTE asiyetokewa na mtu ambaye yuko serious kujenga naye malengo, maana hicho kipindi ni kipindi cha kustawi na kunawili, ni lazima ua likichanua wadudu wanavutiwa
Ila bahati mbaya, kipindi hicho, wanawake wengi HUANGALIA wale wenye PESA TU ambao hata hawana malengo nao.
Kipindi cha 20-27, wanawake wengi wanaharibu FUTURE zao kwa kutembea na MATAJIRI, MABOSS na VIJANA WENYE HELA kwa ajiri ya starehe tu.
Mwisho wa siku wengi huishia kutoa mimba, na kutumikishwa na wenye hela wasio na UCHUNGU na UTU wao.
Alipofikia hapo, nilinyamanza kimya nikawa namsikiliza.
Akaniuliza swali, unajua ni kwanini mwanamke anapata tabu miaka ya 20-30+?
Nilimjibu Sijui (ili aendelee)
Basi, akaniambia ni kwa sababu anayeweza kumwoa mwanamke wa miaka 28-30 anamhitaji mwanaume mwenye miaka kuanzia 33,35, au zaidi
Na bahati mbaya wanaume wengi katika miaka hiyo ya 30+ wanakuwa tayari wana familia zao, yaani wameshaoa.
Akaniambia unajua Wanachokifanya inapotokea hali hiyo?
Wengi huamua kuendelea kudate na waume za watu
Na wengine huamua kuzalia nyumbani, ili kumaliza ubishi
Na wengine huamua kujikunyata tu na kuwa wanyonge wakisubiri MUUJIZA kutoka kwa Mungu.
Na wengine huamua kuwa wahuni TOTALLY.
Nilipoyatafakari hayo nikawa sina cha kuongezea.
Sijui kwa upande wako unayaonaje hayo, je yana ukweli ndani yake?
"LIVE A GREAT LIFE"