fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,379
- 11,523
Angalia maswali ya kuuliza ukijibiwa hili swali lako inavyo takiwa utajisikia aibu!!!!lema yupi unayemuongelea?
Angalia maswali ya kuuliza ukijibiwa hili swali lako inavyo takiwa utajisikia aibu!!!!lema yupi unayemuongelea?
Kumbe ndivyo chadema walipozwa na 'mwanaccm' operation ikafa !!!Anaandika Mhe. Godbless Lema kupitia twitter:
Waziri (M)mstaafu Mh F.Sumaye alinimbia,Lema wala tusiwe na haraka ya operation UKUTA kwani huyu mtu anajenga ukuta wake yeye mwenyewe.Hali ya uchumi kwa sera hizi itakuwa mbaya na njaa itawafundisha watu kuamua.Kwa hali ya sasa ya biashara ni sahii kusema Mh Sumaye aliona mbali View details ·
Godbless E.J. Lema @ godbless_lema