Haikubaliki hata kidogo. Ndiyo Maana mara nyingi nasisitiza haka Kachama ka CHADEMA kamekaa kindugundugu fulani hivi. Wanawake wa Chadema msipokemea hili nitawaogopa. Leo ameambiwa Kishoa, Kesho ataambiwa Esta Matiko, Gekul, na wengine. Ni hatari sana