Maneno haya ya Kiarabu yana maana gani katika nembo ya Zanzibar University ilhali lugha rasmi za taifa (Bara na Visiwani) ni Kiingereza na Kiswahili?

Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Ndugu zangu Watanzania, eti;

Maneno haya ya kiarabu yana maana gani katika nembo ya "Zanzibar University" ilhali lugha rasmi za taifa (Bara na Visiwani) ni kiingereza pamoja na Kiswahili?


MAELEZO MACHACHE SANA KUHUSIANA NA "ZANZIBAR UNIVERSITY"
=========
The Zanzibar University (ZU) is a private university in Zanzibar, Tanzania. It opened in 1998 as the first university in Zanzibar, is a private university sponsored by the Darul Iman Charitable Association, an Islamic religious organization in Ontario, Canada. It is situated at Tunguu area, in the Central District, some 12 miles (19 km) from Zanzibar Town. The University campus, with a total area of 170 acres (0.69 km2) of land, is located among quiet countryside surroundings overlooking the Indian Ocean. There is public transport to the University.
=========

ANGALIZO/TAHADHARI: Ninaomba tuepeka kabisa comments za kisiasa, udini (uislamu na ukristo) pamoja na ukabila (uzanzibar pamoja na ubara) kwa maana sio lengo la mada hii.

Sisi watanzania wote ni ndugu na wamoja licha ya tofauti zetu chache (Minor Differences) na sote tuungane katika kutatua changamoto zetu za kitaifa ili tuweze kusonga mbele zaidi kwa manufaa ya vizazi vijavyo.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Zanzibar University
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Ndugu zangu Watanzania, eti;

Maneno haya ya kiarabu yana maana gani katika nembo ya "Zanzibar University" ilhali lugha rasmi za taifa (Bara na Visiwani) ni kiingereza pamoja na Kiswahili?


MAELEZO MACHACHE SANA KUHUSIANA NA "ZANZIBAR UNIVERSITY"
=========
The Zanzibar University (ZU) is a private university in Zanzibar, Tanzania. It opened in 1998 as the first university in Zanzibar, is a private university sponsored by the Darul Iman Charitable Association, an Islamic religious organization in Ontario, Canada. It is situated at Tunguu area, in the Central District, some 12 miles (19 km) from Zanzibar Town. The University campus, with a total area of 170 acres (0.69 km2) of land, is located among quiet countryside surroundings overlooking the Indian Ocean. There is public transport to the University.
=========

ANGALIZO/TAHADHARI: Ninaomba tuepeka kabisa comments za kisiasa, udini (uislamu na ukristo) pamoja na ukabila (uzanzibar pamoja na ubara) kwa maana sio lengo la mada hii.

Sisi watanzania wote ni ndugu na wamoja licha ya tofauti zetu chache (Minor Differences) na sote tuungane katika kutatua changamoto zetu za kitaifa ili tuweze kusonga mbele zaidi kwa manufaa ya vizazi vijavyo.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.

wewe ni wale wa bara walikuja kujaza mabox ya kura za CCM ?
 
Nimeedit.

Lakini pia mtu anapofanya kinyume na usahihi jifunze kukosoa kistaarabu,sio kwamba imeniuma hapana ila tu katika kumkosoa mtu mkosoaji pia anaweza kukosea njia ya kukosoa.

Wewe ni miongoni mwa wastaarabu wachache sana ndugu yangu. Binafsi, nimekuelewa. Isikuvunje moyo.
 
Unapataje tabu ya kumjibu mjinga???

Ungemuacha tu. Yeye analouliza ni zaidi ya hilo alilouliza lakini kwa kuwa ni mjinga hawezi kuuliza hilo analotaka kuuliza kwa namna sahihi ya kuliulizia.
Mjinga ni mtu asiye na uelewa wa kutosha juu ya jambo/suala fulani. Kamwe siwezi kuona aibu ya kuitwa mjinga katika kujifunza.
 
Sioni ajabu sababu school Motto ya High School niliyosoma Iyunga Tech ilikua ni "Levavi Oculus" ambayo si kiingereza au kiswahili ila ni kwa sababu ya utawala uliokuwepo.
Uliwahi kuhoji hiyo "Levavi Oculus" maana yake ni nini?...
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Ndugu zangu Watanzania, eti;

Maneno haya ya kiarabu yana maana gani katika nembo ya "Zanzibar University" ilhali lugha rasmi za taifa (Bara na Visiwani) ni kiingereza pamoja na Kiswahili?


MAELEZO MACHACHE SANA KUHUSIANA NA "ZANZIBAR UNIVERSITY"
=========
The Zanzibar University (ZU) is a private university in Zanzibar, Tanzania. It opened in 1998 as the first university in Zanzibar, is a private university sponsored by the Darul Iman Charitable Association, an Islamic religious organization in Ontario, Canada. It is situated at Tunguu area, in the Central District, some 12 miles (19 km) from Zanzibar Town. The University campus, with a total area of 170 acres (0.69 km2) of land, is located among quiet countryside surroundings overlooking the Indian Ocean. There is public transport to the University.
=========

ANGALIZO/TAHADHARI: Ninaomba tuepeka kabisa comments za kisiasa, udini (uislamu na ukristo) pamoja na ukabila (uzanzibar pamoja na ubara) kwa maana sio lengo la mada hii.

Sisi watanzania wote ni ndugu na wamoja licha ya tofauti zetu chache (Minor Differences) na sote tuungane katika kutatua changamoto zetu za kitaifa ili tuweze kusonga mbele zaidi kwa manufaa ya vizazi vijavyo.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Hayo maneno ya kiarabu yanamaanisha Zanzibar University kuanzia kulia kwenda kushoto.

Zanzibar ni kwa kiarabu ni زنجبار na University ni جامعه

Kiswahili ni kama tunavyofahamu Chuo kikuu Cha Zanzibar

Nadhani wanatumia maneno hayo ya kiarabu katika kuweka msisitizo zaidi kwamba ufadhili wanopewa na ile taasisi ya Darul-Imaan unathaminiwa nao kwa asilimia 100.

Hiyo taasisi ndiyo ilotoa fedha za kujenga hicho chuo na ina makazi yake nchini Canada.

Pia nadhani moja ya masomo yanofundishwa hapo ni lugha ya kiarabu.
 
Maana yake ni chuu kikuu cha zanzibar huwez kuua culture ya wazanzibar ndugu kingereza sisi tunakiforce nchini lakin kiarabu kimetangeza kiswahili kwa asilia kubwa wewe tazama watu wa pwani waliokaa na waarabu ndo wanaonekana wanajua vizur kiswahili kuliko watu wote
 
Maana yake ni chuu kikuu cha zanzibar huwez kuua culture ya wazanzibar ndugu kingereza sisi tunakiforce nchini lakin kiarabu kimetangeza kiswahili kwa asilia kubwa wewe tazama watu wa pwani waliokaa na waarabu ndo wanaonekana wanajua vizur kiswahili kuliko watu wote
Sawa mkuu
 
nadhani jibu umelipata
 

Attachments

  • Screenshot_20210104-212504.png
    Screenshot_20210104-212504.png
    54.7 KB · Views: 22
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Ndugu zangu Watanzania, eti;

Maneno haya ya kiarabu yana maana gani katika nembo ya "Zanzibar University" ilhali lugha rasmi za taifa (Bara na Visiwani) ni kiingereza pamoja na Kiswahili?


MAELEZO MACHACHE SANA KUHUSIANA NA "ZANZIBAR UNIVERSITY"
=========
The Zanzibar University (ZU) is a private university in Zanzibar, Tanzania. It opened in 1998 as the first university in Zanzibar, is a private university sponsored by the Darul Iman Charitable Association, an Islamic religious organization in Ontario, Canada. It is situated at Tunguu area, in the Central District, some 12 miles (19 km) from Zanzibar Town. The University campus, with a total area of 170 acres (0.69 km2) of land, is located among quiet countryside surroundings overlooking the Indian Ocean. There is public transport to the University.
=========

ANGALIZO/TAHADHARI: Ninaomba tuepeka kabisa comments za kisiasa, udini (uislamu na ukristo) pamoja na ukabila (uzanzibar pamoja na ubara) kwa maana sio lengo la mada hii.

Sisi watanzania wote ni ndugu na wamoja licha ya tofauti zetu chache (Minor Differences) na sote tuungane katika kutatua changamoto zetu za kitaifa ili tuweze kusonga mbele zaidi kwa manufaa ya vizazi vijavyo.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Wazanzibari ni nusu waarabu, uswahili unaujua wewe.
 
Back
Top Bottom