Wakuu kuna wadada hujitia misimamo tunapowahitajia but wanaume kama tumemuelewa mwanamke huwa hatukubali kushindwa kirahisi.
Kuna mrembo niliwahi mwelewa miaka ya nyuma, nikamweleza zaidi ya mara 3 ananitolea nje, sasa siku1 nikiwa katika harakati za kufuta namba yake nikajisemea nijaribu mara ya mwisho.
Nikamuandikia ujumbe usemao "NAJUA VYOTE VYA THAMANI HUA HAVIPATIKANI KIRAHISI NDO MAANA HATA MI NATAABIKA KUKUPATA WEWE, KWA KUA WEWE NDO MTEULE WA MOYO ACHA NIENDELEE KUTESEKA AJILI YAKO"
Baada ya nusu saa alijibu "maneno yako yameugusa moyo wangu hivo sina neno juu yako, samahani kwa usumbufu wote uloupata ajil yangu" nilifurahi sana na kilichofuata ilikua ni kula tunda lake.
Tangu siku hiyo niliamini kumbe ukiacha na uchawi wa pesa kwa wadada uchawi mwingine ambao huwanasa ni maneno mazuri, maneno mazuri huwafanya wadada wajione wapekee na kumuona wa thaman anaewatamkia maneno yale.
Je, kwa upande wako maneno gani yaliwahi kukupa ushindi dhidi ya ke uliemfuatilia mda mrefu?
Kuna mrembo niliwahi mwelewa miaka ya nyuma, nikamweleza zaidi ya mara 3 ananitolea nje, sasa siku1 nikiwa katika harakati za kufuta namba yake nikajisemea nijaribu mara ya mwisho.
Nikamuandikia ujumbe usemao "NAJUA VYOTE VYA THAMANI HUA HAVIPATIKANI KIRAHISI NDO MAANA HATA MI NATAABIKA KUKUPATA WEWE, KWA KUA WEWE NDO MTEULE WA MOYO ACHA NIENDELEE KUTESEKA AJILI YAKO"
Baada ya nusu saa alijibu "maneno yako yameugusa moyo wangu hivo sina neno juu yako, samahani kwa usumbufu wote uloupata ajil yangu" nilifurahi sana na kilichofuata ilikua ni kula tunda lake.
Tangu siku hiyo niliamini kumbe ukiacha na uchawi wa pesa kwa wadada uchawi mwingine ambao huwanasa ni maneno mazuri, maneno mazuri huwafanya wadada wajione wapekee na kumuona wa thaman anaewatamkia maneno yale.
Je, kwa upande wako maneno gani yaliwahi kukupa ushindi dhidi ya ke uliemfuatilia mda mrefu?