Maneno gani ya dharua uliambiwa yakakuumiza sana

mbn ni hb sukari ya warembo
Nashukuru inaweza kuwa ni wivu tu wa yule mama kwa sababu hata mama zakaria mke wangu huwa ananiambia mm ni HB, japo juzi Kati tu hapa kuna jamaa tulikorofishana akanitusi na kusema Nina sura nzito kama uji wa mtama...

Navumilia ila huwa inanikatisha sana tamaa nakujiona inaweza kuwa mm sio binadamu kamili

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Mwanaume mwenyewe govinda..muone kwanza.

Sasa nashangaa huyu demu nimemgegeda mara kadha na alikuwa ana shika mic hilo govi hakuliona wakati huo
 
Nakumbuka mwaka 2014 mwanzoni nilienda kufanya interview pale ukonga. Interview ilikua ni ya Jeshi la Zimamoto. Sasa sisi tulikua wengi sana hivyo ili zoezi liende kasi ilibidi wao mainterviewer wajigawe kwenye magroup matatu mule bwaloni.
Ilipofika zamu yangu niliingia na nikaangukia kwenye meza moja yenye wasaili watatu akiwepo mmama mmoja hivi mtu mzima na miwani yake.
Akaniambia nikae. Baada ya kuka akaamza kuniuliza jin langu nani, naishi wapi na shughuli yangu kwa wakati ule ilikua ni nini. Baada ya kumjibu hivyo, ilionekana kama namdanganya (nahisi alinifananisha na mtu mwingine) , na nilipojitetea zaidi akanambia kwa ukali, "shika vyeti vyako uondoke kwanza mdomo wako unanuka"
Kwakweli iliniuma sana hasa ukizingatia nilitokea mwanza kwa ajili ya hiyo interview.

Nilichojifunza baada ya miezi kadhaa ni kutolalamika sana kwani kila kitu kina sababu na Mungu mwenyewe ndie ajuae. Nadhani nilipo hapa ni pazuri zaidi kuliko nafasi niliyokua naitafuta Zimamoto.
😂😂😂😂,
Hii ni fedheha.
 
kuna mzee mmoja alikua hataki nisitembee na binti yake.Sasa cku moja alinifata kijiweni mbele ya washkaji ngoja ni mnukuu "ctaki ufala wako kwangu unataka mwanangu aje azae mtoto ana mashavu kama mtungi" nilijickia vibaya sana kwa kudhalilishwa kule mbele ya watu nikajiondokea kwenda gheto kujiangalia kwenye kioo hayo mashavu kama mtungi lakin cku yaona.

Ila mapenz ndo kama aliyachochea binti alidata kupita maelezo.

kaka pole ila dah nmecheka sana eti nikaenda ghetto kuangalia hayo mashavu kama mtungi ... umeifanya jioni yangu iwe murua sana
 
Mimi niliambiwa na mashemeji zangu kuwa "namaliza pesa za dada yao mwanaume nisiye na kazi nimeshindwa kumpa hata ujauzito dada yao" wajameni wajameni niliyemtumaini my wife alinipoza ila hao mashemeji nilitamani niwafyekelee mbali kwa sime ila my lover wife alizuia kwa kuweka mpango tuhamie mji mwingine tupo hapa mbezi goba nakula na kushiba nina kazi yangu na watoto 3
 
Back
Top Bottom