holy holm
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 4,669
- 8,669
mbn ni hb 🤣🤣🤣 sukari ya waremboNdio ni mm kuu, ww Unaonaje nafanania na sura ya kupuliza moto?
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
mbn ni hb 🤣🤣🤣 sukari ya waremboNdio ni mm kuu, ww Unaonaje nafanania na sura ya kupuliza moto?
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
mtungi wapi ilkua ni wivu na roho mbaya zakeHahahaha broo vp now yamekuja kama ya mtungi
Nashukuru inaweza kuwa ni wivu tu wa yule mama kwa sababu hata mama zakaria mke wangu huwa ananiambia mm ni HB, japo juzi Kati tu hapa kuna jamaa tulikorofishana akanitusi na kusema Nina sura nzito kama uji wa mtama...mbn ni hb sukari ya warembo
😀😀😀😀Baada ya utambulisho
Wakamwambia pembeni " demu wako kafanana na baba"
Uwe waniTag ..😂😂😂😂 maana si kwa comments hiziNasoma comments tyuuh mie.
😂😂😂😂,Nakumbuka mwaka 2014 mwanzoni nilienda kufanya interview pale ukonga. Interview ilikua ni ya Jeshi la Zimamoto. Sasa sisi tulikua wengi sana hivyo ili zoezi liende kasi ilibidi wao mainterviewer wajigawe kwenye magroup matatu mule bwaloni.
Ilipofika zamu yangu niliingia na nikaangukia kwenye meza moja yenye wasaili watatu akiwepo mmama mmoja hivi mtu mzima na miwani yake.
Akaniambia nikae. Baada ya kuka akaamza kuniuliza jin langu nani, naishi wapi na shughuli yangu kwa wakati ule ilikua ni nini. Baada ya kumjibu hivyo, ilionekana kama namdanganya (nahisi alinifananisha na mtu mwingine) , na nilipojitetea zaidi akanambia kwa ukali, "shika vyeti vyako uondoke kwanza mdomo wako unanuka"
Kwakweli iliniuma sana hasa ukizingatia nilitokea mwanza kwa ajili ya hiyo interview.
Nilichojifunza baada ya miezi kadhaa ni kutolalamika sana kwani kila kitu kina sababu na Mungu mwenyewe ndie ajuae. Nadhani nilipo hapa ni pazuri zaidi kuliko nafasi niliyokua naitafuta Zimamoto.
kuna mzee mmoja alikua hataki nisitembee na binti yake.Sasa cku moja alinifata kijiweni mbele ya washkaji ngoja ni mnukuu "ctaki ufala wako kwangu unataka mwanangu aje azae mtoto ana mashavu kama mtungi" nilijickia vibaya sana kwa kudhalilishwa kule mbele ya watu nikajiondokea kwenda gheto kujiangalia kwenye kioo hayo mashavu kama mtungi lakin cku yaona.
Ila mapenz ndo kama aliyachochea binti alidata kupita maelezo.
Pole sana me too..
Why..??Ningekukosa huku ningeshangaa sana
Why..??
Niambie pole basi...Mzee wa kiberenge na biringanya
Usiombe udhalilishwe mbele za watu 😄😄kaka pole ila dah nmecheka sana eti nikaenda ghetto kuangalia hayo mashavu kama mtungi ... umeifanya jioni yangu iwe murua sana
Huwa inauma mnoUsiombe udhalilishwe mbele za watu
Namnukuu " unatunisha tunisha ka_kifua ka_kifua kenyewe kama ka bata" mwisho wa ku mnukuu.
Naomba kuwasilisha.