Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,634
- 225,252
"Mwanaume mzima huwezi kumaliza kreti 3 za safari"
Nilikasirika sana toka siku hiyo nikawa mnywaji wakutisha sana
"Mwanaume mzima huwezi kumaliza kreti 3 za safari"
Nilikasirika sana toka siku hiyo nikawa mnywaji wakutisha sana
khaaaahMwanaume mwenyewe govinda..muone kwanza.
Sasa nashangaa huyu demu nimemgegeda mara kadha na alikuwa ana shika mic hilo govi hakuliona wakati huo
Usijar cc ntakua nakutag wallahUwe waniTag .. maana si kwa comments hizi
Heeeeeeh makubwa haya lol, yeye anamaliza 10?"Mwanaume mzima huwezi kumaliza kreti 3 za safari"
Nilikasirika sana toka siku hiyo nikawa mnywaji wakutisha sana
Kulikuwa na shida ya maji mkoa mzima.so maji yakiwa ya kununua dumu mia tano hapo zamani.visima vikiwa adimu
My sister alikua sekondari sasa akirudi inabidi akatafute maji japo ndoo kubwa moja kwa kufulia uniform na anabakisha ndoo ndogo moja ya kuosha asubuhi .siku hiyo akakosa hata maji ya kisima.kuna ndugu mmoja alinunua maji sababu alikua na ajira.alipopata maji ya kuoga akataka kuyamwaga yaliyobaki.Dada akamuwahi "kaka flani usimwage hayo maji kama huyataki nayaomba"
Yule kaka akamwangalia kwa dharau akamjibu "haya maji si bora niyamwage au nimpe mbwa kuliko wewe"
Halafu Ilikua mbele ya member wengine wa familia mchanganyiko..
Sasa hivi huyo aliejibu kwa dharau anapuyanga huko vijijini mlevi hafai.huyo mdada yuko mjini na maisha yake kayapata.
kuna mzee mmoja alikua hataki nisitembee na binti yake.Sasa cku moja alinifata kijiweni mbele ya washkaji ngoja ni mnukuu "ctaki ufala wako kwangu unataka mwanangu aje azae mtoto ana mashavu kama mtungi" nilijickia vibaya sana kwa kudhalilishwa kule mbele ya watu nikajiondokea kwenda gheto kujiangalia kwenye kioo hayo mashavu kama mtungi lakin cku yaona.
Ila mapenz ndo kama aliyachochea binti alidata kupita maelezo.
Nyambafuuuuu na mlipe mikopo yenu....baada boom iwasaidie msome vizuri mnaaza kutafta vischana na kuongaa,mkiaza kudaiwa mnalia liaaaMimi aliniomba 100K aongeze kwenye kodi wakati me mwenyewe kodi jau enzi za chuo hizo nikamwambia asubiri nipate boom. Akasema mwanaume wa kutegemea boom nae mwanaume sasa
Kitu gani cha dharau alichowahi kukwambia babe wako alipokuomba hela ukasema huna?
Nilikunywa 28 ndio huyo dada akanidharau...Heeeeeeh makubwa haya lol, yeye anamaliza 10?
Hapana mkuu wanakusingizia tu.Ndio ni mm kuu, ww Unaonaje nafanania na sura ya kupuliza moto?
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
poleeeeeeeh lolNilikunywa 28 ndio huyo dada akanidharau...
Niambie pole basi...
Usiombe udhalilishwe mbele za watu
Kuna jemba zingine midomo Kama dampo, unatamani umwambiye, hivyo huyo mama alifikisha ujumbe kwako, kunuka mdomo ni balaa hata kama unakula waweza tapika.piga mswaki tumia ListerineNakumbuka mwaka 2014 mwanzoni nilienda kufanya interview pale ukonga. Interview ilikua ni ya Jeshi la Zimamoto. Sasa sisi tulikua wengi sana hivyo ili zoezi liende kasi ilibidi wao mainterviewer wajigawe kwenye magroup matatu mule bwaloni.
Ilipofika zamu yangu niliingia na nikaangukia kwenye meza moja yenye wasaili watatu akiwepo mmama mmoja hivi mtu mzima na miwani yake.
Akaniambia nikae. Baada ya kuka akaamza kuniuliza jin langu nani, naishi wapi na shughuli yangu kwa wakati ule ilikua ni nini. Baada ya kumjibu hivyo, ilionekana kama namdanganya (nahisi alinifananisha na mtu mwingine) , na nilipojitetea zaidi akanambia kwa ukali, "shika vyeti vyako uondoke kwanza mdomo wako unanuka"
Kwakweli iliniuma sana hasa ukizingatia nilitokea mwanza kwa ajili ya hiyo interview.
Nilichojifunza baada ya miezi kadhaa ni kutolalamika sana kwani kila kitu kina sababu na Mungu mwenyewe ndie ajuae. Nadhani nilipo hapa ni pazuri zaidi kuliko nafasi niliyokua naitafuta Zimamoto.
Ahsante..😉Pole zangu nshakupa nyingi ila huponi majeraha
DahNilijua tu
Halafu sisi wanywaji ndio tunawaowaga nyie
Pampula wewe
Kweli mkuu. Mi sijui kama wangu unanuka na sijawahi kuambiwa na yeyote mwingine zaidi ya huyo mama. Lakini ntajitahidi kufuata ushauri wako inawezekana watu wananivumilia tuKuna jemba zingine midomo Kama dampo, unatamani umwambiye, hivyo huyo mama alifikisha ujumbe kwako, kunuka mdomo ni balaa hata kama unakula waweza tapika.piga mswaki tumia Listerine