Maneno 15 yanayotumika sana kwenye Korea Drama

Komasmitaa-thank u, asante

Komasmita komao-asante kushukuru

Hyungnim-heshima kwa mtoto wa kiume km kaka japo anaweza asiee ndugu yako

Horabunyee-brother , kaka

Kamchupirimita-hongera

Pehaa-mfalme

Puii-kiongozi wa kike au niseme malkia ila sio kwa kuolewa kibongobongo km mama Samia

Ankoraa-kaa chini ,keti

Aghasheee-mdada mwenye kaheshima fulani
 
Wakuu habarini za muda huu kama wewe ni mfuatiliaji wa Korean dramas naamini kutakuwa na maneno mawili matatu ya kikorea utakuwa umedokoa

Nimeainisha hapa maneno 15 ambayo yanatumika sana kwenye series za Kikorea yaani yanapatikana karibia kwenye kila series.

1 ANYEONGHASEYO -
Hello, Habari

2. MIANHAE -
I am sorry, pole

3. AIGOO -
Oooh Dear, Daaah

4. YEOBOSEYO -
Hello, Halo (Ya kwenye Simu)

5. SARANGHAE
I love You, Nakupenda

6. JUSEYO
Please, Tafadhali

7. GEUREOM
Yes, sawasawa

8.WAE
Why, Kwanini

9. ANDWAE
I can't, siwezi

10. HAJIMA
Stop it, Acha

11. EOTTEOKAE
What should i do, Nifanye nini

12. JINJA
Really?, Kweli

13. MWO
What, Nini?

14. UNNIE, OPPA
Sister, Brother, Dada Kaka

15. SEOSANGNIM
Teacher, Mwalimu

Kama utakuwa na la kwako tupia hapo tuone!
Ajjuss ni nini
 
Wakuu habarini za muda huu kama wewe ni mfuatiliaji wa Korean dramas naamini kutakuwa na maneno mawili matatu ya kikorea utakuwa umedokoa

Nimeainisha hapa maneno 15 ambayo yanatumika sana kwenye series za Kikorea yaani yanapatikana karibia kwenye kila series.

1 ANYEONGHASEYO -
Hello, Habari

2. MIANHAE -
I am sorry, pole

3. AIGOO -
Oooh Dear, Daaah

4. YEOBOSEYO -
Hello, Halo (Ya kwenye Simu)

5. SARANGHAE
I love You, Nakupenda

6. JUSEYO
Please, Tafadhali

7. GEUREOM
Yes, sawasawa

8.WAE
Why, Kwanini

9. ANDWAE
I can't, siwezi

10. HAJIMA
Stop it, Acha

11. EOTTEOKAE
What should i do, Nifanye nini

12. JINJA
Really?, Kweli

13. MWO
What, Nini?

14. UNNIE, OPPA
Sister, Brother, Dada Kaka

15. SEOSANGNIM
Teacher, Mwalimu

Kama utakuwa na la kwako tupia hapo tuone!
Ase mkuu napenda sana nyimbo zao zinazopigagwa ktk seriz zao kama hutojali nifahamishe jinc ya kuzipata
 
Hii nyama jaiva(ukitamka kwa haraka bila kukaza maneno) = Ndio ujinga gani huu uliotekea
Ashe = Miss
Jumong = Bingwa wa kupiga mishale
 
Changun- General wa kivita.

Shibhaa- Fu*ck

Ne Pyungah - It's raining

Arraso - okay

Pamsee- Night

Natoo - You too

Chilundah - coming in

Bhichinya - bitch
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom