RUTAJUMBUKIRWA
Senior Member
- May 3, 2009
- 185
- 89
Wana JF,
Jana nilisikiliza BBC kipindi kuhusu Nelson Mandela kuwasamehe his tormentors. South Africa ni kama uhasama umeisha licha ya Shapville massacres, kufungwa kwa Mandela and co. na assasinations na ubaguzi mwingi.
Je, majirani zetu Rwanda wanaweza kutumia huu mfano?
Ukweli kuhusu Rwanda:
1. Mwaka 1994 Paul Kagame aliitungua ndege ya rais habyarimana
2. Huyu Habyarimana alikuwa criminal, ali train militia, akanunua mapanga, akaanzisha media za kuchochea genocide ready for the work.
3. Filimbili ilipolia, radio RTLM ina mobilise wahutu wakashika mapanga waka destroy tutsi population. Na RPF ilipokuwa inapita ikikuta wahutu wamefyeka jirani zao, nao wanaanza kulipiza kisasi.
UN inasema wahutu waliua watutsi 800,000 na RPF ikaua wahutu 25,000 in revenge attacks.
4. Genocide ilikuwa ni hutu project. ambaye hakushika panga, alipora mali, ambaye hakupola alipiga kelele na kuwafichua watu wauae, ambaye hakufanya hivyo basi alikaa tu, I dont care whether they are killed or not.
So, majority hutus, ambao waligain their numbers through depopulating tutsis have to reconcile with tutsis.
Any examples from South african experiece?
Jana nilisikiliza BBC kipindi kuhusu Nelson Mandela kuwasamehe his tormentors. South Africa ni kama uhasama umeisha licha ya Shapville massacres, kufungwa kwa Mandela and co. na assasinations na ubaguzi mwingi.
Je, majirani zetu Rwanda wanaweza kutumia huu mfano?
Ukweli kuhusu Rwanda:
1. Mwaka 1994 Paul Kagame aliitungua ndege ya rais habyarimana
2. Huyu Habyarimana alikuwa criminal, ali train militia, akanunua mapanga, akaanzisha media za kuchochea genocide ready for the work.
3. Filimbili ilipolia, radio RTLM ina mobilise wahutu wakashika mapanga waka destroy tutsi population. Na RPF ilipokuwa inapita ikikuta wahutu wamefyeka jirani zao, nao wanaanza kulipiza kisasi.
UN inasema wahutu waliua watutsi 800,000 na RPF ikaua wahutu 25,000 in revenge attacks.
4. Genocide ilikuwa ni hutu project. ambaye hakushika panga, alipora mali, ambaye hakupola alipiga kelele na kuwafichua watu wauae, ambaye hakufanya hivyo basi alikaa tu, I dont care whether they are killed or not.
So, majority hutus, ambao waligain their numbers through depopulating tutsis have to reconcile with tutsis.
Any examples from South african experiece?