macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,770
- 39,555
Asante sana. Hili mimi ni jambo huwa linashangaza sana mpaka nimefikia hatua ya kukubali waafrika ni manyani. Mitaro ya namna hii ipo Dar nzima na mbaya zaidi barabara ni nyembamba sana na magari yanakwenda speed kiasi ambacho watembea kwa miguu wanakuwa na wakati mgumu mno.Sijawahi kuelewa kabisa hawa ma engineer wetu wana tatizo gani, labda mnieleweshe nielewe : Hivi ni kwa nini hizo side drains (mifereji ya maji) inaachwa wazi hivyo?
Kwanza ni hatari gari na pikipiki kudumbukia humo, pili watu wanaigeuza madampo ya takataka. Kama ingefunikwa kwa slabs za zege tayari faida ingepatikana kwa watembea kwa miguu na baiskeli na pia kupishana..