Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 2,886
- 4,283
Service Road imekuwa parking ya malori ktk barabara ya Mandela road mpakani mwa Tabata Matumbi Hadi Buguruni ktk kiwanda Cha Murzah, wananchi watembea kwa miguu na waendesha baiskeli tunapata shida Sana.
Ingawa Kuna vijana wanajiingizia kipato kwa kulinda hayo malori lakini kwa namna nyingine inatupa tabu sisi wananchi watembea kwa miguu na waendesha bodaboda na baiskeli, hivi huu utaratibu kwenye nchi za wenzetu upo kweli hivi Hawa wamiliki wa haya malori hawana sehemu yakupaki haya malori ukiachilia mbali kwenye hizi barabara za watembea kwa miguu.
Nawaomba TANROAD walifanyie kazi hili ikiwa pale maeneo ya garage wameweka Bango la tahadhari ambapo ni makao yao basi na hapa Buguruni wafanye hivyo. Tumechoka na kelo hii kwani inawalazimu waendesha baiskeli kuingia barabara kubwa ili waweze kutokea upande wa pili napo wanapishana na magari yaendayo kasi hamuoni hii ni hatari.
Ingawa Kuna vijana wanajiingizia kipato kwa kulinda hayo malori lakini kwa namna nyingine inatupa tabu sisi wananchi watembea kwa miguu na waendesha bodaboda na baiskeli, hivi huu utaratibu kwenye nchi za wenzetu upo kweli hivi Hawa wamiliki wa haya malori hawana sehemu yakupaki haya malori ukiachilia mbali kwenye hizi barabara za watembea kwa miguu.
Nawaomba TANROAD walifanyie kazi hili ikiwa pale maeneo ya garage wameweka Bango la tahadhari ambapo ni makao yao basi na hapa Buguruni wafanye hivyo. Tumechoka na kelo hii kwani inawalazimu waendesha baiskeli kuingia barabara kubwa ili waweze kutokea upande wa pili napo wanapishana na magari yaendayo kasi hamuoni hii ni hatari.