Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,832
Mandela, mtu aliyejizolea sifa yakuwa mtu bora sana yamkini kuliko wote duniana ktk minajiri ya amani, na hata kufika kuchua ka sehemu kwa uungu kwa baadhi ya watu. Na pia kuwa mtu aliyetokea kupendwa sana na makaburu yamkini kuliko alivyopendwa na wanaharakati(blacks) wenzake. Huyu ni mtu aliyetumikia kifungo cha zaidi ya miaka 27 jela,na baada ya kuachiwa akaamua kuwasamehe wahasimu wake. Maamuzi ya mandela aliyafanya kwa gharama ya kuwaacha wanaharakati ktk vifungo vya maisha kwahabari ya ufukara wa kupindukia na kuwapa neema ya maisha ya kula 'kuku kwa mrija' makaburu. Ifahamike kuwa, japokuwa mandela alifungwa jela 'physically', wananchi weusi na wapigania uhuru walikuwa na wamebakia ktk vifungo vya kudumu vya ufukara wa kutupwa,walikuwa wanapigania kutoka jela ya ukapuku/ufukara uliopelekewa na mfumo wamakaburu. Hivyo, maamuzi yake ya kuwasamehe makaburu ambao kimsingi hata hawakuomba huo msamaha kwa kuamini mfumo wao wa kibaguzi ulikuwa/na upo/ nautabakiwa kuwa sahihi, na pia kuwaachia kuendelea kumiliki uchumi walioupora kutoka kwa wananchi waliowengi, ilimaanaisha na itaendelea kumaanisha nikupoteza 'focus' kwa huyu mzee na yamkini kusahau matakwa ya aliokuwa anawaongoza. Baada ya kuwa rais, mzee Mandela had everything a human being would long for, but it wasn't the case for poor majority south african who could not even had a small piece of farm land in their own country. Kwa mandela kuwasamehe wahasimu wake in that state of affairs was selfishly too easy b'se he could not listen to what his people longed for. Nachofahamu mimi ni kuwa,alikosa ujasiri ktk kuwatendea haki ethinic black majority ambao walidhulumiwa kila kitu kwa zaidi ya karne 3 (300 years). Na akaamua kuwaachia makaburu kila kitu ambao mpaka sasa wanaendelea kuwabagua na kuwanyanyasa weusi waliowengi(zaidi ya 90% of ZAR pop.). Kwa wanamapinduzi, hiyo sio haki kabisa bali niusaliti kwa wanaharakati ambao hawana hope in years to come! Wazungu walio wengi wa south A. are the most barbaric human species in the history of human kind. I'm not sure what future holds for makaburu that the one who used to restrained blackmajority, who they fight a fierce battle to save his life, is no more. May God rest his soul, amen. Ubaguzi umejikita ndani sana ya mioyo ya makaburu, hata ukienda kwenye nyumba za ibada huwezi amini mpaka leo bado idiology ya kubagua weusi ipi hai! Majority southafrican are frustrated and sometimes they misdirect their frustration to foreigners. Makaburu ambao ndio waajiri huwa wanapenda kuwaajiri wakuja (ingawa policies za nnchi yao zinakataza) nabaadaye wanawachongea kwa weusi wazawa kuwa wanachukuliwa nafasi zao za kazi na hao wakuja. Lengo la huu uchonganishi ni kuwazubaisha hawa wazawa waliowengi na kupoteza muono wa picha kubwa badala yake wawaone adui zao ni wakujawakati kimsingi makaburu ndio maadui wabaya sana wa wazawa weusi waliowengi.
Funzo kwa wanasiasa:
Mwanasiasa aliyewekwa kwa ridhaa ya wananchi, anapoingiza matakwa yake na kusahau ya wale waliomtuma, hata matakwa yake yakiwa mazuri kiasi gani, kama yanapingana na ya kundi analoliongoza ni usaliti full stop!
Nawakirisha!
Funzo kwa wanasiasa:
Mwanasiasa aliyewekwa kwa ridhaa ya wananchi, anapoingiza matakwa yake na kusahau ya wale waliomtuma, hata matakwa yake yakiwa mazuri kiasi gani, kama yanapingana na ya kundi analoliongoza ni usaliti full stop!
Nawakirisha!