MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,006
- 2,165
Ni furaha kuona kwamba baba wa taifa anafia nyumbani kwake. Nchi zetu hizi viongozi wetu wanafia ulaya, India, S. Africa.
Kwa Mandela hiyo ni ishara ya nchi iliyo timamu. Iliyojengwa Kuwa nchi badala ya kujiandaa kuomba omba. Tusubiri msafara wa mazishi.
Kwa Mandela hiyo ni ishara ya nchi iliyo timamu. Iliyojengwa Kuwa nchi badala ya kujiandaa kuomba omba. Tusubiri msafara wa mazishi.