sikajiji
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 588
- 113
"Matendo hukidhi haja maridhawa kuliko maneno" Madiba was a man of charcter and principle, he walked the his talk.[FONT=Arial, Helvetica][FONT=arial, helvetica]
Sijaridhika bado na uzito wa Nelson Mandela ukilinganisha na baadhi ya viongozi wengine wambao wamefanya makubwa katika ukombozi wa bara la Afrika na baadhi ya mambo muhimu ulimwenguni. Jambo la pekee kwa Mandela ni kufungwa kwa miaka 26, na baada ya kufunguliwa makubaliano ya ANC ni kumpa nafasi ya kuongoza nchi ambapo alidumu kwa awamu moja na kuamua kuachia ngazi pengine sababu ya matatizo ya kiafya ndio alitaka upweke asibughudhiwe. Zaidi ya kupigania haki za Waafrika huku kusini hakuna tofauti na wapigania uhuru wengine katika bara hili.
Kwa kulinganisha na mmoja ambaye amekuwa katika vichwa vya waafrika wengi Julius Nyerere naona kwa mtazamo wangu Nyerere yuko juu zaidi kwa juhudi kubwa alizofanya kupigania ukombozi wa bara la Afrika, kwani alijitolea bila hofu na hata umoja wa Afrika kuweka makao makuu ya ukombozi nchini Tanzania. Hata vyama vya wapigania ukombozi makao yao yalikuwa Tanzania, hali kadhalika ANC maskani yao yalikuwa Tanzania, karibu na mji kasoro bahari (Morogoro) ambako sasa ni chuo kikuu cha kilimo (Sokoine University).
Naweza kutafsiri kama mataifa ya magharibi yamefanya jitihada kubwa kumkuza zaidi kwa kile kinachoonekana kujaribu kufunika yale yaliyofanywa nao kipindi cha ubaguzi kwa vile walikuwa ni wazungu wenzao. Lakini kupima kwa vigezo halisi binafsi naona Nyerere yuko juu zaidi ya Mandela, na tena kuna wengine wengi tu wenye kustahili heshima zaidi yake hapa Afrika kuliko yeye. Mataifa ya magharibi yametuteka nasi tumefuata wayatakayo.
View attachment 126253
Katika picha hii licha ya huyo mhindi
yupo pia mzungu ambaye alikuwa
Waziri wa fedha kwa miaka mingi nchini Tanzania
The multi-racial first cabinet of newly independent Tanganyika. While this sort of thing was seen as strange in other newly independent African countries, for Nyerere this was a matter of course. People were appointed on merit, based on their ability and commitment to the cause. The issue of skin colour did not feature. Amir Jamal (far right, seated), the first of many Tanzanians of Asian origin to serve in Nyereres cabinet was a long-serving member, for many years holding the powerful portfolio of Finance Minister. He continued to hold high office beyond Nyereres own retirement, including a five year stint as Tanzanias ambassador to the United Nations in Geneva from 1988 to 1993. His close working relationship with retired President Nyerere continued as he became his personal representative when Mwalimu Nyerere was Chairman of the South Commission and then on the South Centre, and the Dag Hammarskjold Foundation of Uppsala, Sweden. Amir Jamal was continually re-elected to Parliament by his Morogoro constituency with ever greater margins. This is despite the fact that members of his racial group comprised less than 1% of the population, testament to Mwalimus success in making his country a truly non-racial society. Mr Jamal died in March 1995 aged 74.
Mr Nyerere's views on African development were an unmitigated disaster and turned his country into a pauper for decades (and probably decades to come).
Rath Andor, USA[/FONT][/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica][FONT=arial, helvetica]Nyerere's 'African socialism' proved disastrous in the rural areas where his policy of "ujama", community-based farming collectives, met with resistance from farmers and led to a subsequent decline in production. [/FONT][/FONT][FONT=Arial, Helvetica][FONT=arial, helvetica]Nyerere was a false prophet who failed to think through the effects of his left-wing policies on ordinary people and that African socialism is a confused philosophy which should be confined to the dust bin of history. [/FONT][/FONT][FONT=Arial, Helvetica]He was neither a political messiah nor a false prophet because he was honest and intelligent, but not an achiever. He was only an idealist.[/FONT][FONT=Arial, Helvetica]If he preached his theories as a prophet, then he was a great liar. [/FONT]However, [FONT=Arial, Helvetica]he was just a realist who with good intentions tried to show that Africa can go on it's own way without blindly following western ideologies. Those who claim that he failed say so because they measure success with material development.RIP Nyerere, RIP Madiba [/FONT]:amen: