Wa kishuani walivaa bata na zile raba nmezisahau jina ila kama za kuchezea mpira hiviMkuu enzi hizo mtu ukivaa ndara/malapa yanayoitwa/mark BATA ulikua unaonekana unazo
Mwaka gani huo?La pili
Hahahahahah ,umenikumbusha mbali,kuna viatu viliitwa Losso,yaani ukivaa unaonekana wa kishuaSkyway wadada walikuwa wanatokea Christmas,akipiga na readymade yake ya njano utamtaka.
Ha ha ha ha haHahahahahah ,umenikumbusha mbali,kuna viatu viliitwa Losso,yaani ukivaa unaonekana wa kishua
Na Mkanda wa kipepeoHahahahahah ,umenikumbusha mbali,kuna viatu viliitwa Losso,yaani ukivaa unaonekana wa kishua
Kuna kipindi dada zangu walikuwa wanasoma boarding secondary,mimi nilikuwa mdogo,acha tu walilazimisha wanunuliwe Losso na kuna lotion kubwa kabisa kopo kubwa la pink nimeisahau jina jina kama linaanzia na Z.Na Mkanda wa kipepeo
Nachokupendea ni huko kupenda kujifunza kwako. Kaza buti utafika mbali.Darasa la ngapi hilo ?
Hahahahha,jibu swali.Nachokupendea ni huko kupenda kujifunza kwako. Kaza buti utafika mbali.
umechanganya, ni vitabu 2 tofautiHahahaha hiki kitbu ndo nilichojifunzia kujua kusoma mfalme mwenye maskio kma ya punda
Saa nane utanikoma kina dada walikuwa na viatu flan hivi vya vitundu vidogo vidogo vya plasticChachacha tuliziita mwisho sa sita..Those were the better days
Kitambaa flan hivi zimepanda kiushkaji wifi yako alikuwa ananikamata sana na pigo hiloHahahahahah ,umenikumbusha mbali,kuna viatu viliitwa Losso,yaani ukivaa unaonekana wa kishua
Enzi za lindu amuokoa kapilima au chilunda apambana na chui achilia mbali brown ashika tamaDarasa la ngapi hilo ?