Inauma sana kwa hawa ndugu zetu maana baadhi ya ndugu wamekuwa wakipoteza maisha kwa ajili ya unazi wa hii club. Ivi Edwoord ward anaelewa kweli au kusikia haya. Wadau wa michezo mnaonaje mwenendo wa club, tatzo lipo kwa KOCHA, WACHEZAJI, MAKAMU WA UFUNDI????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.