umemaliza kila kitu hakuna cha kuongeza hapo ingawaje baadhi ya watu wanamtetea kwamba eti apewe muda nunue wachezaji wake wakiborongo ndo alaumiwe kama mechi ya leo alikuwa na kagawa akashindwa kumtumia kumuanzisha na hata sub alipoingia akaend kumchezesha pembeni 11,young akarudi saba hivi kweli unategemea kwa asilimia 100 akisajili wachezaji ataweza kuwatumia??? Mimi nahisi uwezo wa kocha ni mdogo anapokuwa na timu ya wachezaji wengi kufanya selection ya first eleven timu imepotea toka dk ya kwanza ya mchezo nilitegemea anagefanya mabadiliko half time ila nilikuwa disapointed na suprised kuona kwamba hakufanya changes yoyote.... Sasa sijui alitegemea miujiza gani??
Agggr! acha nivute duvet maana ishakuwa ovyo sasa..Shytttttt!
Bado chelsick nao kugongwa 2 kwa 0 ili tunywe maji yakapita!
Poleni ndugu,usicheke mamba kabla hujavuka mto,nimekula ela yangu kwa muhindi safi kbs
Natumaini tutashinda, mweeh!! ManU jamani mmh
Bado chelsick nao kugongwa 2 kwa 0 ili tunywe maji yakapita!
Poleni ndugu,usicheke mamba kabla hujavuka mto,nimekula ela yangu kwa muhindi safi kbs
Hahaha, we will see about that but the Blues are the saviors of english football, the only in England now to scare Barca and Bayern
Endelea kuota ndoto za mchana ukiwa umelala chini ya mwembe
hawa manure nao walisema hivyohvyo!
Tusubiri bado masaa nanyi tutawafuata hukohuko kwenu kuwapa chai
Bado chelsick nao kugongwa 2 kwa 0 ili tunywe maji yakapita!
Poleni ndugu,usicheke mamba kabla hujavuka mto,nimekula ela yangu kwa muhindi safi kbs
hawa manure nao walisema hivyohvyo!
Tusubiri bado masaa nanyi tutawafuata hukohuko kwenu kuwapa chai