M Z A N Z I B A R I
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 21,501
- 116,044
Rais wa la liga bado anaendelea kuweweseka mpaka dakika hii, bado haamini kama mbappe kylian amekataa kwenda real madrid. Wamewakosa haaland erling na mbappe kylian.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mpaka muda huu hakuna taarifa yoyote kubwa. Timber atakupa option ya kucheza nafasi mbili hadi tatu kwa kiwango cha juu nazo ni RB, CB na DM. Endapo eric bailly na wan bissaka watapata timu na kuondoka basi jurrien timber atatosha kuziba nafasi za hao wawili.Daemushin: anyupdate kuhusu Timber and analysis?
juan mata anaweza kupewa mkataba mpya, nimevutiwa na mahojiano yake aliyoyafanya ndani yake amezungumza mambo mazito sana kwa lugha ya kiutu uzima. Structure ya manchester united ipo mahututi.Juan Mata
Phil Jones
Aron Bissaka
Jesse Lingard
Edson Cavani
Nemanja Matic
Paul Pogba
Confirmed wanaondoka United.
La liga imejifia as we speak..Rais wa la liga bado anaendelea kuweweseka mpaka dakika hii, bado haamini kama mbappe kylian amekataa kwenda real madrid. Wamewakosa haaland erling na mbappe kylian.
Ivi wewe takataka upogi timu gani wewe mbuzi😂😂😂 maana ata ueleweki Yani una kichwa ngumu Kama kesi yaa shamba..😂😂😂Nyumbu
tulia ww cheltako chelyatima mm Brentford damu siunajua nilichokufanyaIvi wewe takataka upogi timu gani wewe mbuzi maana ata ueleweki Yani una kichwa ngumu Kama kesi yaa shamba..
Wale wanajeshi 2500 wa Ukraine waliojisalimisha juzi kwa jeshi la Urusi moja ya sharti lao kabla ya kujisalimisha ilikua ni kuruhusiwa waone mechi ya mwisho ya manchester united vs Crystal Palace.Dah hii timu itakuja huwa watu hii yani watu walikuwa wana hali mbaya kweli kweli watu walikosa amani kabisa
Leo watu hawa amini kama inacheza anyway
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha.