Mpaka sahizi nafikiri hawa wanaotajwa kama interim ni watu bora sana....

i)Ernesto varverde
ii)Ralf Rangnick
iii)Rudi garcia

Ernesto ververde alitwaa la liga mara 2, kombe la ligi pia....alifukuzwa january 2020 kwasababu ya matoke9 ya champions league back to back alipoteza kwa liverpool na roma the following season....

Rangnick mzuri kwenye uandaaji wa mipango bora ya timu ataistructure timu vizuri kuanz8a uchezaji hadi management jinsi ya kusajili

Rudi garcia alikuwa kocha bora sana akiwa Roma....Roma walikuwa wa moto sana ajabu msimu wake wa mwisho wqchezaji waliperform chini sana vipigo vikazidi hadi akafukuzwa...
Macocha wenye historia za namna hii za upepo kuishiwa nguvu huwa wanajikuta situations hizo zinawarudia rudia. waachwe.
 
Wachezaji wa city na psg jinsi wanavyokaa na mipira halafu ukilinganisha na midfielders wetu wanavyoachia mpira haraka kama wameshika kiazi cha moto,unagundua itatuchukua muda sana kurudi kwenye ubora wetu katika soka la ulaya.

Usiku mwema wadau wa UNITED.
 
Stepping up on the biggest stage of all

manutd |
#GGMUView attachment 2022887
IMG_20211125_105907_472.jpg
 
Nilivyomuona poch Leo kwa mam city bado sins uhakika kama ataweza kuna kuipa man u mafanikio... Ameelemewa sana kupita maelezo ni bahati tu man city wamescore 2 na sio 4
Ile team tatizo sio kocha, dressing room ni nzito imejaa mastaa tupu kila mtu anajiona bora yaani wapo wapo tu mtizame Tuchel wa chelsea halafu tizama wakati yupo PSG utanotice kitu
 
167 Reactions
Reply
Back
Top Bottom