Mervin
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 1,857
- 2,544
Kaa kimya Man city Haina fans bongo. Fans wa man city wotee Kwa Tz wahamiaji TUU....Hii timu itaenda miaka 20 bila kikombe ......
Ni swala la muda tu
Mwache abwabwaje TUU... Atanunua sana wachezaji wa M 100 uefa ataisikia KWENYE bombaKama ilishabeba shida ipo wapi? Manchester city hawakukata tamaa miaka 80 wanazama wanaibuka hadi mwarabu kaokoa jahazi kwa mbindeeee
2007 wamepanda daraja ujue
Bruno ni mchezaji mzuri lakini weakness yake kubwa anafanya timu ishindwe kuretain possession kwa sababu anapoteza mipira sana.Kama kuna mtu wa mpira atamponda Bruno huyo ataongozwa na chuki ila kajamaa kwenye kutengeneza nafasi za kufunga yupo mbali sana tena sana ana takwimu za hatari sana ni vile hii timu haibebi makombe na kutokuwa na kiwango komavu vinginevyo ule ni msala.
Bruno wkt anakuja hakuwa na tatizo hili, wengi tulimuona ni master wa passes za macho lkn baada ya kuadapt mbinu za kocha bora duniani ndo amekuwa hivi.Bruno ni mchezaji mzuri lakini weakness yake kubwa anafanya timu ishindwe kuretain possession kwa sababu anapoteza mipira sana.
Ukiwa na David Silva vs Bruno probably mwalimu mzuri atamprefer David Silver kuliko Bruno.
Mimi najua timu moja tu dunian......Kaa kimya Man city Haina fans bongo. Fans wa man city wotee Kwa Tz wahamiaji TUU....
Hujielewi wewe ,hivi unafuatilia mpira upi kenge weweKama ilishabeba shida ipo wapi? Manchester city hawakukata tamaa miaka 80 wanazama wanaibuka hadi mwarabu kaokoa jahazi kwa mbindeeee
2007 wamepanda daraja ujue
Aisee bado yaani sahv n mwendo WA anangata na kupuliza....na jpili NI suluhu Ile gameBado hajafukuzwa tu
Vijana wote ni wazima, Atawin maana beki ya kuku ni mbovu na vijana wanajiamini Kuanzia speed na kumiliki gozi.Aisee bado yaani sahv n mwendo WA anangata na kupuliza....na jpili NI suluhu Ile game
Man city sawa na Azam bongo.Hazina fans,Fans wake wahamiaji.Sawa na jitu lijitokeze Kwa Sasa kusema nili fan la West ham baada ya kuanza kufanya vizuri.Rubbish ndo sawa na weweeeee....Mimi najua timu moja tu dunian......
Manchester city ...
Hizi takataka nyingine zikapoteleee mbali...
Unataka kusemaje Sasa ,kupigwaa miti au ,sikuelewi mseeMan city sawa na Azam bongo.Hazina fans,Fans wake wahamiaji.Sawa na jitu lijitokeze Kwa Sasa kusema nili fan la West ham baada ya kuanza kufanya vizuri.Rubbish ndo sawa na weweeeee....
Huezi kuelewa,Unataka kusemaje Sasa ,kupigwaa miti au ,sikuelewi msee
Nimeishia apo uliposema McTominay is Superb..Kwenye makaratasi united ni kama mshapoteza against Liverpool, Chelsea, Man city. Hizi ni timu ambazo they are well coached, with high tactical minds.
Ole alichelewa kupata his priority , a top CM (Declan rice) kitu ambacho kinawaondoa kwenye title contention ingawaje mnaQuality all over the pitch.
Last season, Cavani up front timu ilibalance isipokuwa RW, mkamaliza second place, ujio wa Ronaldo unaharibu balance ya timu. Timu inakosa a top CM.
Midfield kwa sasa inahitaji Mc tominay na Fred waweFit the whole season, kitu ambacho ni impossible.
Fred has got his own flaws kama imposition ,lack of technical security. Mc tominay is superb
Pogba + Ronaldo on the pitch inawanyima intensity, too easy to keep the ball against like Leicester did
Pogba + Matic/VDB hamna kitu. Pogba cant play his game with Matic in pivot.
Hiyo ni kwa 4-2-3-1 shape anayoenda nayo sasa bwana Ole na 4-4-2 structure kwenye High press which is good. km atalazimika baadae kabla hajafukuzwa aende na back 3 ...Maguire,Varane, AWB may be he can get the best out of this group. Mtazamo tu.
Tokea mwanzo tatizo hili alikuwa nalo..anapoteza sana mpira na at the same time anacreate sana chances nzuri za magoli.Bruno wkt anakuja hakuwa na tatizo hili, wengi tulimuona ni master wa passes za macho lkn baada ya kuadapt mbinu za kocha bora duniani ndo amekuwa hivi.
Ole Out..hata kama kuku atakufa 5.
hahahah kwamba kocha bora.Bruno wkt anakuja hakuwa na tatizo hili, wengi tulimuona ni master wa passes za macho lkn baada ya kuadapt mbinu za kocha bora duniani ndo amekuwa hivi.
na ndo inavyotakiwa anarusha tu ndoano ikipata samaki sawa isipopata sawa.Bruno ni risk taker anapoteza sana mipira pia anacreate nafasi za kutosha