42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,831
- 8,809
Hukukosea bado mmepigwa 2 bilaLeo nimeota man u tumepigwa mbili bila eeh Mungu tunaomba ichi kikombe kituepuke.
Hukukosea bado mmepigwa 2 bilaLeo nimeota man u tumepigwa mbili bila eeh Mungu tunaomba ichi kikombe kituepuke.
YametimiaEndelea kulala
Na mm ndo mara ya kwanza kuona Man U anacheza vizuri kuliko mechi yoyote aliyocheza tangu msimu uliopitaHii ndio Manchester United ninayoifahamu mimi
Mtani wa siku nyingi. Ole at helm.... Mna wachezaji wazuri lakini mnaangushwa na kocha. Sisi hatuna hata kimoja kizuri tupo tunapostahili kuwepoOGS kama kweli anaipenda United huu ni wakati muafaka kwake kujiuzulu,tulishasema hii timu haiwezi
Sio ole tu kiufupi benchi zima la ufundi halitakiwi kuwepo paleTukisema kuhusu ubovu wa kocha tunaitwa plastic fans,lakini kwa hali hii kama Ole ataendelea kubwa kocha wa MAN U tutakuja kushituka wakati ambapo tumeshakuwa kama Newcastle, Tottenham na team nyingine ambazo zilikuwa babe zamani ila sasa zimebaki historia.
Itafika muda tutakuja hi team ya kuleta challenge tu kwenye league na sio kuwanis ubingwa.
Hii schedule ya October-November ilivyokaa,kama Ole atapona basi hatawahi kufukuzwa kwenye siku za hivi karibuni.
Eti mara Fletcher daaah, hii team hiiπ.Sio ole tu kiufupi benchi zima la ufundi halitakiwi kuwepo pale
Shida ile team wanaishi kwa kujuana sana ngoja wapigike watatafutana
Maguire either hajapona au kacheza bila ya kufanya mazoezi yoyote na timu, na hili kalionyesha kuanzia dakika ya 1 mpaka mwisho ila kwakuwa tunakocha kilaza kamuacha tu uwanjaniI think Maguire hakupaswa kuanza hii game bado hayuko fit
Maguire jana kafanya mazoezi ya ushindani kwa mara ya kwanza na wenzie Ole mwenyewe alithibitisha jana kwenye press alafu leo amecheza....Maguire either hajapona au kacheza bila ya kufanya mazoezi yoyote na timu, na hili kalionyesha kuanzia dakika ya 1 mpaka mwisho ila kwakuwa tunakocha kilaza kamuacha tu uwanjani