Pole tatzo na cr7mnacheza pungufuMashabiki wa Utd duniani hawasikilizwi kabisa.
Jiheshimu mkuu. Yaani unawaita Leicester wajinga??brother, hatuna kisingizio wala yeye mwenyewe hatakiwi kuwa na kisingizio.
hii ni mechi ya nne tunacheza na leicester city tunaingia uwanjani tukiwa uchi, angalia timu muda wote timu ipo chini eti tunawaogopa hawa wajinga.
hatuwezi hata kuwapa presha wachezaji wao, yule amartey anacontrol mpira anavotaka bila ya kughasiwa.
inaumiza sana
Kama wataona waendelee naye sawa hamna shida, wewe mkuu ulimtetea sn but now umeona ubovu wake ila wale malegend wetu bado wanasema apewe muda.Pogba hana tatizo lolote ila tatizo hapo ni kocha
Pogba hana tatizo lolote ila tatizo hapo ni kocha
Sancho ni Muingereza na De beek ni mholanziWadau najaribu kujiuliza kwamba hadi sasa impact ya sancho kwenye kikosi ni ipi hadi mwalimu aendelee kumwamini hivyo wakati Donny anaonekana hajamshawishi mwalimu?
Atafunga kamba za viatuRonaldo atafunga dk yeyote usimdharau kabisa