Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,509
- 30,562
Mwana kaamua kumlipua baba.baba na mwana
Mwana kaamua kumlipua baba.baba na mwana
Kazi ya kocha ni kuhakikisha kila mchezaji unachuja mafuta toka kwake maana kila mchezaji anautofauti na ubora wake.....EFL alicheza Daniel James Sancho upande wa kushoto na kulia alicheza James kama sikosei tumeshatolewa.
UEFA mechi zote alirotate kumbuka mechi hizo Rashford na Amad walikuwa na Injury na Daniel James tayari alikuwa ameshaondoka. Sasa Amad angechezeshwa akiwa na injury ?
Rashford amesharudi tutegemee Sancho kucheza kulia au kuendelea kucheza kushoto kama wataendelea na Greenwood upande wa kulia.
Acha kulinganisha hio takataka na our world class player ,master passer Kelvin de bruyne .....Lakini bado utasikia watu, De Bryne ni noma , where is he? Hata mwaka aliokuwa on his prime View attachment 1976275
Sasa huyo world class passer ipo wapi?.... mbona ni rahisi sana ni wewe kutoa stats halisi kama huyo jamaa ametoa stats za uongoAcha kulinganisha hio takataka na our world class player ,master passer Kelvin de bruyne .....
KDB haitaji status za ku google Kama huyo penato wenu ....Sasa huyo world class passer ipo wapi?.... mbona ni rahisi sana ni wewe kutoa stats halisi kama huyo jamaa ametoa stats za uongo
kwanza comment yangu umeijibu out of context, hakuna sehemu yoyote niliposema Ole ni mwalimu mzuri ila mimi nilikuwa najibu comment ya the best kwamba Amad anastahili kucheza ilhali alikuwa na majeraha, na juu ya uwezo wa greenwoood over Amad wewe ungekuwa ungeanza na nani huko kulia kati ya Amad na Greenwood.Kazi ya kocha ni kuhakikisha kila mchezaji unachuja mafuta toka kwake maana kila mchezaji anautofauti na ubora wake.....
Ole anaotea....endapo fergusona angekuwa hivi leo hii class ya 1992 au ronaldo tusingemjua......kina Louis Nani, Chicharito hao chini ya Ole wangefeli
Tukubali aina yetu ya mpira haifichi madhaifu ya wachezaji na inahitaji best players na specials bas.....
Hao kina garner, Dylan Levitt, mengi, Hanibal mejbri watafeli na hawawezi kucheza vizuri first team sababu timu yetu inacheza mpira mgumu kueleweja na mpira mgumu kwa young players wemye uoga na wasio na confidence.....Pellestri naamini Ole alichangia yeye kurud Alaves huko hachezi zaidi ya dakika 10 tunaexpect nini......Amad ni mzuri ukipatikana mfumo mzuri he is hell of a player.....
Ifike kama kina tyler Bracket waliperform chini ya Van gal inagine kina Imad wenye vipaj vyao...imagine sancho.
Sancho alinunuliwa acheze kulia ila ajabu kulia hapati namba na kushoto hapati namba sababu Winger wetu wa kushoto sikuhizi ni Paul pogba.....
Kumbe wanao weka statsgoogle hawaangalii mpira kwenye screen?KDB haitaji status za ku google Kama huyo penato wenu ....
Quality yake inaonekana live kwenye screen ....
Keep watching
Mkuu nimetoa hiyo comment kuonesha asilimua 70 ya wachezaji wetu wanaflop na hawapati nafasi sababu ya kocha......kungekuwa na mfumi mzuri hata imad amgecheza hizo mechi 15 na akaonesha maajabu makubwa tukwanza comment yangu umeijibu out of context, hakuna sehemu yoyote niliposema Ole ni mwalimu mzuri ila mimi nilikuwa najibu comment ya the best kwamba Amad anastahili kucheza ilhali alikuwa na majeraha, na juu ya uwezo wa greenwoood over Amad wewe ungekuwa ungeanza na nani huko kulia kati ya Amad na Greenwood.
binafsi simuoni Amad kufikia hata uwezo wa Daniel James hata kama angekuwa anapigania namba na Daniel James I would prefer Daniel James over Amad.
Kwa style ya huyu kocha nadhani dunia isingewashuhudia kina ronaldo na Messi, wangepotea.EFL alicheza Daniel James Sancho upande wa kushoto na kulia alicheza James kama sikosei tumeshatolewa.
UEFA mechi zote alirotate kumbuka mechi hizo Rashford na Amad walikuwa na Injury na Daniel James tayari alikuwa ameshaondoka. Sasa Amad angechezeshwa akiwa na injury ?
Rashford amesharudi tutegemee Sancho kucheza kulia au kuendelea kucheza kushoto kama wataendelea na Greenwood upande wa kulia.
Amad alipewa nafasi msimu uliopita na akaonyesha hayo maajabu au nyinyi mnataka maajabu gani ?Mkuu nimetoa hiyo comment kuonesha asilimua 70 ya wachezaji wetu wanaflop na hawapati nafasi sababu ya kocha......kungekuwa na mfumi mzuri hata imad amgecheza hizo mechi 15 na akaonesha maajabu makubwa tu
hii ni Wishful thinking mkuu, Ole akiwa kocha wa academy yetu alizalisha kina Pogba, Lingard, Ravel Morisson, na kule Molde alizalisha kina Halaand, Keprin Diata na wengineo, na sasa hivi kamuibua Greenwood.Kwa style ya huyu kocha nadhani dunia isingewashuhudia kina ronaldo na Messi, wangepotea.
alicheza mechi ngapi?....tuweke hili sawa alafu tulete stats za rotation za makocha waliopita na timu pinzani rotation zao tuzijadili humuAmad alipewa nafasi msimu uliopita na akaonyesha hayo maajabu au nyinyi mnataka maajabu gani ?
goal letu dhidi ya Ac Milan liliotupeleka fainali Europa Ligi alifunga yeye ndiyo maana msimu huu hakutolewa kwa mkopo kama Pellistri.
mimi sikumbuki mechi alizocheza lakini kwa zile alizocheza alionyesha hayo maajabu kwa kufunga goal lililotupeleka Semi Final.alicheza mechi ngapi?....tuweke hili sawa alafu tulete stats za rotation za makocha waliopita na timu pinzani rotation zao tuzijadili humu
inaonekana wapi, embu tuoneshe hapa kama ilivyoonyeshwa hapo juu walivyofanya akina Lampard, Xavier n.k.KDB haitaji status za ku google Kama huyo penato wenu ....
Quality yake inaonekana live kwenye screen ....
Keep watching
Mbn na wewe unasema ni wa hovyo?hii ni Wishful thinking mkuu, Ole akiwa kocha wa academy yetu alizalisha kina Pogba, Lingard, Ravel Morisson, na kule Molde alizalisha kina Halaand, Keprin Diata na wengineo, na sasa hivi kamuibua Greenwood.
Yes kusema ni wa hovyo haimanishi kwamba hajafanya kitu chochote positive kwenye career yake huko ni dalili ya chuki binafsi kwake.Mbn na wewe unasema ni wa hovyo?
Naomba nipingane na wewe kwa kuweka swali hapa.....je Ole alivyokuwa academy manager 2008 - 2011 kuna mchezaji wa academy alipanda first team ajawa regular? Kama yupo naomba nitajiehii ni Wishful thinking mkuu, Ole akiwa kocha wa academy yetu alizalisha kina Pogba, Lingard, Ravel Morisson, na kule Molde alizalisha kina Halaand, Keprin Diata na wengineo, na sasa hivi kamuibua Greenwood.
Nimwpingana na jamaa kuwa hakuna mchezaji alieibuliwa na Ole akiwa academy akawa na impact hata robo kwenye firat team yetu......maana kina lingard wameenda kubreak through 2014 baada ya kutolewa loans kadhaa....pogba akaondoka....Ravel hakuwa na career nzuri etcMbn na wewe unasema ni wa hovyo?