Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchezaji ameshinda kila kitu.Nilichogundua Varane ana UEFA CL, CLUB WC na UEFA SC nyingi kuliko club, hizi ni dharau za waziwazi.
Kaangalie ruben dias vs german harafu urudi hapaMkaangalie man city vs varane
Alafu mrudi hapa
Siyo hiyo tu, akaangalie haverts alichomfanya Ruben dias UCLKaangalie ruben dias vs german harafu urudi hapa
Hana cha kutafuta tena, ni heri tungeangalia mwingine labda kocha anataka experience pia kwenye safu ya ulinzi.Mchezaji ameshinda kila kitu.
Bado kiu ya mafanikio itaendelea kuwepo ndani yake?
Sioni kama hili ni tatizo, kwa ubora wake kwangu mimi naamini tumelamba ndume hofu yangu nilijua tungetumia pesa nyingi sana ambayo ingetuzuia kufanya sajili nyingine ila ni kinyume chake.Mchezaji ameshinda kila kitu.
Bado kiu ya mafanikio itaendelea kuwepo ndani yake?
Kusema ukweli ukiweka mahaba kando, hatufiki popote timu ikiendelea kuwa chini ya Ole. Ni mwalimu wa soka mwenye uwezo mdogo sana.
Narudia tena kusema, timu yetu inaokolewa na uwezo binafsi wa wachezaji na sio mbinu za mwalimu.
Tumekuwa tukifungwa magoli ya kimakosa yale yale yanayojirudia, huyu Ole ana-train nini huko mazoezini? Hili goli la Westham ni carbon copy ya goli lile lile la Southampton wiki iliyopita.
Kama Ed anamuelewa sana Ole basi aajiri specialist tactics coach wa kumpa msaada Ole. Wale wasaidizi wake watatu wakiongozwa na Mike Phelan sioni ubunifu wao.
Tulihitaji zaidi mlinzi mzoefu hofu yangu nilijua tungetumia pesa nyingi. Mchezaji kama Jules Kounde angekuja kucheza chini ya Harry ila kwa Raphael watacheza kama patners. Mchezaji pekee aliye sokoni angeweza kutufaa nje ya Raphael ni Kalidou Koulibaly.Hana cha kutafuta tena, ni heri tungeangalia mwingine labda kocha anataka experience pia kwenye safu ya ulinzi.
Kigogo 2014 ws uyalaJamaa huwa hadanganyi!
Umenichekesha Sana kweli chama langu maadui kibaooTayari mna magwaya haitoshi mnaona muongeze Baja varane
Tunashukuru kwa kujipatia over ya 2.5
Mkuu mimi naongea hali halisi bhanaUmenichekesha Sana kweli chama langu maadui kibaoo
Kwani ameshinda EPL, UEFA na United?Hana cha kutafuta tena, ni heri tungeangalia mwingine labda kocha anataka experience pia kwenye safu ya ulinzi.
Wavhezaji na makocha wanajenga wasifu zaidi wakishinda vikombe na Clubs tofautiHana cha kutafuta tena, ni heri tungeangalia mwingine labda kocha anataka experience pia kwenye safu ya ulinzi.
Je cristiano ronaldo hajashinda kila kitu? mbona anakimbiza bado hata juve......Hana cha kutafuta tena, ni heri tungeangalia mwingine labda kocha anataka experience pia kwenye safu ya ulinzi.
Inakera sana, wao kila mchezaji akija Utd basi tumepigwa ila wakienda kwao wazuri.Huu uzi wetu siku hizi unavamiwa na hawa wajinga wajinga wa Arsenal, chelsea na Man city inaboa sana kusoma comments zao.
Tuacheni kuwajibu hawa wapuuzi tunawapa nguvu ya kuendelea kuharisha humu ndani.
Mkuu msimu uliopita hatukufungwa magoli mengi ya set pieces bali tulifungwa magoli mengi ya individual mistakes tu.Sioni kama hili ni tatizo, kwa ubora wake kwangu mimi naamini tumelamba ndume hofu yangu nilijua tungetumia pesa nyingi sana ambayo ingetuzuia kufanya sajili nyingine ila ni kinyume chake.
Safu yetu ya ulinzi ilihitaji zaidi beki mwenye uwezo mkubwa kuliko yeyote tuliye naye pale. Tulikuwa tunafungwa magoli mepesi mepesi sana ya kona na set pieces. Msimu ulioisha juzi tumeruhusu goli 14 ktk set-pieces pekee, tumezidiwa na Leeds tu.
Bahati nzuri ni kama maoni yetu yalionwa humu juzi kwa mara ya kwanza timu imeajiri set-pieces specialist & individual development coach kwa ajili kuimarisha safu ya ulinzi anaitwa Eric Ramsey. Haya yalikuwa maoni yangu mwezi wa 12 mwaka jana aangalia hapo nilipo-bold.
Khalidou Koulibaly kashuka sana kiwango toka mechi ya Napoly na Barcelona hakuna tena klabu inayomtaka.Tulihitaji zaidi mlinzi mzoefu hofu yangu nilijua tungetumia pesa nyingi. Mchezaji kama Jules Kounde angekuja kucheza chini ya Harry ila kwa Raphael watacheza kama patners. Mchezaji pekee aliye sokoni angeweza kutufaa nje ya Raphael ni Kalidou Koulibaly.
Mimi pia natazama uzoefu wake utatusaidia sana.Kwani ameshinda EPL, UEFA na United?
Kikubwa ni uzoefu wake ndio una umuhimu sana