Na goli ataanza kufungwaDe gea leo anaweza kuanza golini.
Dar kubwa mzee Kinondoni yenyewe kubwa kuliko Rwanda. Sema upo sehemu ganiWenyeji wangu watu wa Dar mpira mnaangalia wapi au ndo kila mtu kivyake?
Link ya mpira tafadhali
Niliwaza kabla ya hii mechi kuhusu goalie wetu Dean na David.....Dean bado sana kufikia uwezo wa De gea anamakosa fulani ngumu kuyaona pia hana saves za maajabu kana DDGNa goli ataanza kufungwa
Bwashee unanitisha balaa, Huu mpira utadhani tumelazimishwaUnai Emery, Coach wa Villareal hii itakuwaa fainali yake ya 4 ya europa league ndani ya miaka 10. Mara 3 alikuwa na club ya sevilla na alifanikiwa kunyanyua hili kombe mara tatu mfululizo.
Game ya leo ni 50/50. Ila kwa game ya mwisho kati villareal na real Madrid jumamosi iliyopita inanifanya niamini kwamba hii game itakuwa ngumu sana kwenu.
Hawa jamaa wanapiga pass za hatari. Mashambulizi yao unaona movie za magoli kabisa. Kwa beki zenu za Baily na Lindelof mjiandae kisakolojia. Niwatakie ushindi kwenye hii game japo sioni ni kwa namna gani mnaweza kushida.