OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,125
- 24,050
Mkuu hii man u tunaijua vizuri ni sisi ma fans wakongwe, ninyi vijana wa juzi hamwezi kabisa kuifahamu hii manjesta. .msimu wa jana miezi kama hii mulikuwa moto balaa ..lakini kwenye msimamo tulipishana point moja tu.vipi chelsea ya Timo werner, haverte, Malang sarr, eduardo mendy na thiago silva inaimpact gani kwenye league?
Mpo nafasi ya ngapi vile?..... Pia unahitaji impact gani zaidi ya kuwa msaada kwa timu kuongoza league mkuu? Je kikosi chenu kimekosa impact hata ya kuwa top four mpaka baada ya game 19?
Pia on paper mpaka sahizi Werner na rashford nani anagoli nyingi na assist nyingi? Vipi haverts na bruno nani anacontribution kumzidi mwingine?
#CFC