Maneno ya van persi mkuu,,sio mm
Screenshot_2020-11-07-08-18-57.jpeg
 
Me niliangalia kipindi cha kwanza tu, nilipo
Huyo ole akiendelea kumpa game time chache cavani utakuwa ndy mwisho wake,,

Maana mashabiki wote wa man u duniani wanahitaji cavani aanze..
Mimi niliangalia kipindi cha kwanza tu, nikakimbia.
Nilivyo gundua Cavani yuko nje, nikajua hatushindi leo.
Nashukuru tumeshinda, heshima imerudi.
Cavani sio mchezaji wa kuanzia benchi
 
mkuu ni kweli Cavani ameniprove wrong (half of my comment) ila bado na stand na point yangu, hata leo ukiangalia sisi na southhampton hatujatofautiana sana, na point yangu ipo valid kukosa mtu wa kuhold mpira mbele, tukiwashambulia sekunde 30 tu wapo golini kwetu.
Mkuu tungekuwa na martial,rashford na mdogo wa greenwood tulikuwa tunaliwa mbili 0
 
Me niliangalia kipindi cha kwanza tu, nilipoMimi niliangalia kipindi cha kwanza tu, nikakimbia.
Nilivyo gundua Cavani yuko nje, nikajua hatushindi leo.
Nashukuru tumeshinda, heshima imerudi.
Cavani sio mchezaji wa kuanzia benchi


kabisa,,,,tena mashabiki wanakwambiya cavani anapaswa acheze,,,haijalishi kufunga ....

Whether cavani scores or not defenders no go sleep..

Kkkkkkk.

Screenshot_2020-11-25-06-26-23.jpeg
 
Mimi bado naamini msimu huu tunachallenge ligi, timu pekee ambayo kidogo inatisha ni spurs, na wao pia sidhani kama wana depth ya maana hasa vile wanacheza Europa
Three things are certain in life. Taxes, death and Spurs bottling the league. I can bet my life those guys hawawezi kubeba ndoo. Wanachangamsha genge tu.

Kuhusu ku-challenge ndoo kusema ukweli Ole ana uwezo mdogo sana kimbinu. Mechi almost 90% ya msimu huu tulizoshinda sio strategy ya mwalimu ni juhudi binafsi za baadhi ya wachezaji hasa hasa Bruno.

Nashawishika kuamini kwa sasa ni ngumu sana Manchester United kupata ushindi bila Bruno uwanjani. Ole hawezi kutupa kombe la maana labda Carabao.
 
Hakika mkuu,,
Ndy maana nikasema siku moja wakati namchambuwa martial,,
Nilisema striker gani hapigi vichwa?

Martial anapiga kichwa huku kafumba macho..

Leo ndy imeonekana dhahiri kwamba striker no 9 lazima ujuwe kupiga mashuti,,na pia uwe mkali wa vichwa,,

Naamini mkuu sasa timu pinzani zikicheza na man u,,
Macho yote kwa cavani,,,

Hata van persi analijuwa hilo,,,View attachment 1637859
Kaonyesha vyote anaweza kutengeneza nafasi na pia kutumia nafasi goli la tatu kujikunja kama samaki was penye cent 5 (sijui kama vijana wanaijua hii. )bado ana vitu vingi
 
Three things are certain in life. Taxes, death and Spurs bottling the league. I can bet my life those guys hawawezi kubeba ndoo. Wanachangamsha genge tu.

Kuhusu ku-challenge ndoo kusema ukweli Ole ana uwezo mdogo sana kimbinu. Mechi almost 90% ya msimu huu tulizoshinda sio strategy ya mwalimu ni juhudi binafsi za baadhi ya wachezaji hasa hasa Bruno.

Nashawishika kuamini kwa sasa ni ngumu sana Manchester United kupata ushindi bila Bruno uwanjani. Ole hawezi kutupa kombe la maana labda Carabao.
Spurs ya JMou hii sio ya Poch.
 
Juzi nilimpangia Ole kikosi vizuri ila leo akamuacha Cavani nje..Nachotaka kumwambia ni kuwa Greenwood,Rashford,Martial hawa watoto sio wa kuwadekeza ..kule mbele tunahitaji watu wa kufunga biashara mapema..Na Cavani is your man

Vitoto kufunga havufungi,pasi za mwisho proper vichoyo kutoa..yaani hovyo kabisa

Martial na Rashford wagombanie namba kushoto..Cavani asimame katikati..hizi timu ndogo tutajipigia kirahisi..

✓Fred kanikamatia dimba vizuri sana leo..nimefurahi 8/10

✓Matic too slow.. 6/10

✓Maguire ametulia sana leo 8/10

✓Telles anajitahidi 7/10

✓Bruno,Poor first half,Good second half 7/10

✓De Gea..not pleased with his perfomance today..5/10

✓Rashford..ubinafsi wakati timu inataka goli..5/10

✓Cavani..hakuna kuongea hapa.. 10/10

✓VdB..Fantastic touches..8/10

✓AWB..Not bad..7/10

✓Lindelof..Not bad ..7/10
 
Juzi nilimpangia Ole kikosi vizuri ila leo akamuacha Cavani nje..Nachotaka kumwambia ni kuwa Greenwood,Rashford,Martial hawa watoto sio wa kuwadekeza ..kule mbele tunahitaji watu wa kufunga biashara mapema..Na Cavani is your man

Vitoto kufunga havufungi,pasi za mwisho proper vichoyo kutoa..yaani hovyo kabisa

Martial na Rashford wagombanie namba kushoto..Cavani asimame katikati..hizi timu ndogo tutajipigia kirahisi..

✓Fred kanikamatia dimba vizuri sana leo..nimefurahi 8/10

✓Matic too slow.. 6/10

✓Maguire ametulia sana leo 8/10

✓Telles anajitahidi 7/10

✓Bruno,Poor first half,Good second half 7/10

✓De Gea..not pleased with his perfomance today..5/10

✓Rashford..ubinafsi wakati timu inataka goli..5/10

✓Cavani..hakuna kuongea hapa.. 10/10

✓VdB..Fantastic touches..8/10

✓AWB..Not bad..7/10

✓Lindelof..Not bad ..7/10
Kweli mkuu,,,na hata ile assist ya rashford alitaka afunge mwenyewe,,

Cross haiwezi ikawa shuti Kali kiasi kile,,

Pale cavani kajitosa bila woga..kkkkk
 
Back
Top Bottom