Halafu washambuliaji wanabutuabutua tuUwe na goal getters kama Lukaku, Chicharito, Berbatov, RVP.
Ndo maana nasema, Man Utd tunamuhitaji sana Haaland kuliko Sancho.View attachment 1633208
Al ahly
Mkuu unahitaji goal getter gani zaidi ? Wakati hawa tulionao ole hawatumii?Uwe na goal getters kama Lukaku, Chicharito, Berbatov, RVP.
Ndo maana nasema, Man Utd tunamuhitaji sana Haaland kuliko Sancho.View attachment 1633208
Mambo si ndiyo hayoMkuu unahitaji goal getter gani zaidi ? Wakati hawa tulionao ole hawatumii?
Hivi utamuwekaje nje cavani?
Umchezeshe martial?
Mashabiki pamoja na legendary wengi wanashauri ole atumie mfumo wa kuwachezesha martial left,,rashford na cavani..
Lakini ole kaziba masikio...
Martial nishasema muda mrefu hafai kuaminiwa...View attachment 1633404
Yaani Benzema wanamlinganisha na Martial ?Sema Benzema kuna muda linatupia
Yes,kuwa ana bahati kama Martial i.e kucheza timu kubwa kwa kiwango duniYaani Benzema wanamlinganisha na Martial ?
Ipo vzr..lakini lazima tuweke double attacking midifilders hapo mbele acheze na Bruno,,inapaswa kati ya rashford,, au martial mmoja aanzie bench,,kulia akae mata..au VDB..My Starting XI vs Instanbul Basekheir
Henderson
AWB Lindelof Maguire Telles
Scot Fred Bruno
Rashford Cavani Martial
Ni kumvunjia heshima hadharani benzemaYaani Benzema wanamlinganisha na Martial ?
Hakika mkuuYes,kuwa ana bahati kama Martial i.e kucheza timu kubwa kwa kiwango duni
Mimi nasema No,Benzema ana uwezo wake sio bahati
Mata amekuwa weak sana aisee..hayupo sharp tenaIpo vzr..lakini lazima tuweke double attacking midifilders hapo mbele acheze na Bruno,,inapaswa kati ya rashford,, au martial mmoja aanzie bench,,kulia akae mata..au VDB..
tutashinda mapema sn
Hapo sawa mkuu,,kikosi kipo vzr,,Mata amekuwa weak sana aisee..hayupo sharp tena
Hapo kwa double attacking mid nakubaliana na wewe,tunaweza kuanza na Fred,VdB na Bruno,lakini inabidi wote wawe na compusure nzuri,ili tukeep possession..
Benzema ni striker mzuri sana ukiondoa Suarez, Cavani, Lewandoski, Aguero Benzema anawafuatia. Kwa strikers ambao bado wanacheza.Yes,kuwa ana bahati kama Martial i.e kucheza timu kubwa kwa kiwango duni
Mimi nasema No,Benzema ana uwezo wake sio bahati