buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 3,139
- 6,240
Nauliza kule bench la ufundi hakuna wa kumwambia Daniel James kuwa "kufunga sio kipimo pekee cha mashabiki kukukubali bali hata mchango wako wa kuassist kuwa threat, kupoteza wapinzani vinasaidia kuaminiwa zaidi ya kufunga" ili dogo awe sharp na contribution kubwa kwenye kuifanya man u title contender naona dogo anataka kufunga tu ili asifiwe.
Ajifunze kwa Van De Beek.
Ole Out, acha kujipendekeza kwa Pogba.
Ole Out, ndo ujue kunja nne sometimes majanga.
Ole Out, acha kutembea na Var Check ili ukalilie refa huku umekaa jukwaa la mashabiki.
Ole Out next time ukimuacha Mata na Van de Beek benchi tunakuchinja.
Ole Out Wakuu.
Ajifunze kwa Van De Beek.
Ole Out, acha kujipendekeza kwa Pogba.
Ole Out, ndo ujue kunja nne sometimes majanga.
Ole Out, acha kutembea na Var Check ili ukalilie refa huku umekaa jukwaa la mashabiki.
Ole Out next time ukimuacha Mata na Van de Beek benchi tunakuchinja.
Ole Out Wakuu.