LB Nicolas Tagliafico ndiyo mchezaji mzuri mwingine pale Ajax ambaye angefaa sana kuziba pengo la Luke Shaw ila ni South American too risk to take.Huyu jamaa angekuja na kale Ka-Brazil Neres, ingenoga. Sijui lineup inakuwaje bbu huyu naye ni attacking minded mid
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Nadhani hata Solkjaer ameshaanza kuwa disappointed na hii hali.Kwahiyo baada ya hapo dirisha lifungwe tu! Yaani tumekuwa klabu ya kushangaza sana sijui tunalenga nini msimu huu!
NYUMBU kama NYUMBU View attachment 1553075
De Beek yupo vzr ila bado uongozi haujatundea haki, tulihitaji zaidi ya hapo, tunahitaji beki ya kushoto, beki ya kati ya kusaidiana na mjela jela na forward namba tisa makini hata cavani ingekuwa powaDon Van De BeekView attachment 1553562
Mkuu kwa wasap mtafeli tengenezeni la telegram kdg linaweza ku accommodate watu wengi ila wasap litajaa dk 0 tu c mnajijua jinc mlivyowengi nyie watu?Wazee wenzangu wakubet
Wazee wakubet mjoin hapo nimeanzisha group WhatsApp
Maybe he is coming View attachment 1553691
mjelajelaDe Beek yupo vzr ila bado uongozi haujatundea haki, tulihitaji zaidi ya hapo, tunahitaji beki ya kushoto, beki ya kati ya kusaidiana na mjela jela na forward namba tisa makini hata cavani ingekuwa powa
Ujinga ujinga tu!Kwahiyo baada ya hapo dirisha lifungwe tu! Yaani tumekuwa klabu ya kushangaza sana sijui tunalenga nini msimu huu!